Press za Polepole kwa sasa hazina tija

Press za Polepole kwa sasa hazina tija

Zimekua na maneno maneno mengi sana, ilitakiwa arushe mabomu machache tu kama ya Gwajima
 
Jamaa anaongea huku wale wanazidi kuendelea na michakato
Yao 😄

Ova
Waendelee tu, kwanza sisi makada tumeshanogewa na baiskeli za SSH 2025.

Baiskeli yangu imeshapinda magurudumu nategemea kupewa posho ya SERVICE baada ya uchaguzi.

Kaeni kwa kutulia.
 
Kwangu mimi Polepole ka-win kwa engo alikuwa anatafuta wahuni sio Sir mia, mhuni mmoja ameshatoa shingo nje, tusubiri
 
Zina tija ukitumia akili, ila ukiamua kuwa mjinga utaziona hazina tija.

Hotuba za nyerere alizotoa hayuko madarakani bado zinatija.

Yani unawaamini wana mtandao kuliko ukweli?

Kwangu ukweli ni muhimu kuliko njama za wahusika wa wizi walioko madarakani.
 
Kwenye siasa au utawala unaweza iitwa jina lolote Mkuu.
Ukishakuwa maarufu shutuma ni jambo la kawaida. Ushahidi ndio kitu pekee ambacho huondoa utata na kuondoa reputation.

Bila ushahidi maneno hayanaga maana yoyote kwa sababu mtu huweza kuzusha au kuzushiwa lolote.

Ndio maana leo kuna wanasiasa waliitwa mafisadi lakini baadaye wanasafishwa.
Lakini pakiwa na ushahidi huwezi kusafisha kitu watu wameona
Ushahidi upi, tuhuma za wizi na ufisadi zilizowapa ccm ushindi wa 58% mwaka 2010 zilikuwa na ushahidi..?
 
Sasa hapo Aziz si anamtoa Polepole kwenye mchezo apoteze Focus.
Focus ya Polepole ni Rais, kama atataka amjibu Azizi atakuwa ameshatolewa mchezoni kabisa

Yeye kwenye Warplan yake anaweza ku-edit kidogo lakini asije akapoteza focus yake kama lengo ni kumkabili Rais
Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta HP, kuwachokoza wanamtandao wa kutoka 2005 chini muhuni mkuu wa Jakaya Kikwete...

Ametoka mmoja, RA na kufanya lengo la HP litimie...

Na kuanzia hapo, sasa vita ndiyo tu inaanza. Mfuatilie na msikilize leo...

LAKINI KUMBUKA HILI: Hakuna uchaguzi mwaka huu 2025 na Bi Chura Kiziwi a.k.a Samia Suluhu Hassan hatakuwa Rais tena awamu ijayo iwe kwa jua au mvua. Mstari mwekundu ulishachorwa kitambo...!!
 
Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta HP, kuwachokoza wanamtandao wa kutoka 2005 chini muhuni mkuu wa Jakaya Kikwete...

Ametoka mmoja, RA na kufanya lengo la HP litimie...

Na kuanzia hapo, sasa vita ndiyo tu inaanza. Mfuatilie na msikilize leo...

LAKINI KUMBUKA HILI: Hakuna uchaguzi mwaka huu 2025 na Bi Chura Kiziwi a.k.a Samia Suluhu Hassan hatakuwa Rais tena awamu ijayo iwe kwa jua au mvua. Mstari mwekundu ulishachorwa kitambo...!!
Mmh! Hitimisho limekaa kama unajua kinachoendelea chini ya kapeti
 
Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta HP, kuwachokoza wanamtandao wa kutoka 2005 chini muhuni mkuu wa Jakaya Kikwete...

Ametoka mmoja, RA na kufanya lengo la HP litimie...

Na kuanzia hapo, sasa vita ndiyo tu inaanza. Mfuatilie na msikilize leo...

LAKINI KUMBUKA HILI: Hakuna uchaguzi mwaka huu 2025 na Bi Chura Kiziwi a.k.a Samia Suluhu Hassan hatakuwa Rais tena awamu ijayo iwe kwa jua au mvua. Mstari mwekundu ulishachorwa kitambo...!!
Niko naombea iwe hivyo kama ulivyosema.
 
Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta HP, kuwachokoza wanamtandao wa kutoka 2005 chini muhuni mkuu wa Jakaya Kikwete...

Ametoka mmoja, RA na kufanya lengo la HP litimie...

Na kuanzia hapo, sasa vita ndiyo tu inaanza. Mfuatilie na msikilize leo...

LAKINI KUMBUKA HILI: Hakuna uchaguzi mwaka huu 2025 na Bi Chura Kiziwi a.k.a Samia Suluhu Hassan hatakuwa Rais tena awamu ijayo iwe kwa jua au mvua. Mstari mwekundu ulishachorwa kitambo...!!

Mkuu uchaguzi upo
 
Back
Top Bottom