Press za Polepole kwa sasa hazina tija

Press za Polepole kwa sasa hazina tija

Madam tumefika Polepole vs Aziz basi huyo Slow Slow yuko mbele ya muda

RA huwa hatoki hadharani bila kutikiswa akatikisika yaani huwezi kumsikia anamjibu Uchwara yoyote
Ngoma inakoelekea itakuwa ni kati ya Ukristo vs Uislam, polepole tunaelekea huko.
 
Wenye akili huzingatia zaidi matokeo
Unfortunately, kuhusu suala la Polepole, muda wa mwezi mmoja bado ni mfupi mno kufikia hitimisho la uhakika.
Hata hivyo, NRNE tayari imeonyesha dalili za kushindwa, huku Lissu na CHADEMA wakiwa tayari wamedhoofishwa.
Kwa maoni yangu, ni bora kuandaa mikakati madhubuti (ya kimfumo) zaidi ya kukabiliana na wahuni( sio lazima CCM) , badala ya kuendelea kusubiri huruma kutoka kwa Watanzania (ambao, kwa masikitiko, wengi bado hawajielewi, wabinafisi au wajinga)
 
Je kombara la kifo cha jpm na kombora la wasiojulikana wa samia ...wewe huoni ila madhara yapo ndiyo maana unamuona hule muhuni kwa mara ya kwanza kajitokeza ..ROSTAM AZIZI kumjadili Polepole.

Ushahidi anao?
Kuhusu Aziz huyo ndio atamtoa mchezoni. Polepole astick kwenye malengo yake hasa kutaka mchakato urudiwe ndani ya ccm.
Lakini kama lengo lake ni kuongeongea sawa anaweza kuendelea
 
Kwenye siasa au utawala unaweza iitwa jina lolote Mkuu.
Ukishakuwa maarufu shutuma ni jambo la kawaida. Ushahidi ndio kitu pekee ambacho huondoa utata na kuondoa reputation.

Bila ushahidi maneno hayanaga maana yoyote kwa sababu mtu huweza kuzusha au kuzushiwa lolote.

Ndio maana leo kuna wanasiasa waliitwa mafisadi lakini baadaye wanasafishwa.
Lakini pakiwa na ushahidi huwezi kusafisha kitu watu wameona
Valid with in Banana Republic
 
Slow slow anataka kumtoa saa100
😄

Ova
 
Ushahidi anao?
Kuhusu Aziz huyo ndio atamtoa mchezoni. Polepole astick kwenye malengo yake hasa kutaka mchakato urudiwe ndani ya ccm.
Lakini kama lengo lake ni kuongeongea sawa anaweza kuendelea
Umemsikia vizuri Polepole amesema atampiga Rostam Azizi kupitia Hilo pigo litaibua na mengine mazito maana yake ni kwamba nyuma ya Rostam Kuna wazito zaidi mkuu Polepole ni kichwa hasa we subiri uone hiyo press yake
 
Ushahidi anao?
Kuhusu Aziz huyo ndio atamtoa mchezoni. Polepole astick kwenye malengo yake hasa kutaka mchakato urudiwe ndani ya ccm.
Lakini kama lengo lake ni kuongeongea sawa anaweza kuendelea
Hiyo hakuitajiki ushahidi kinacho fanyika ni fitina tu na nguvu za fitina..Rostam azizi ni kama mafisadi wote uogopa sana kutajwa tajwa hovyo kumtaja tu kunamfedhehesha na kumpunguza nguvu ndiyo maana mimi namtaja muda wote
 
,😂😂
Mange ameona aache kupiga busu Makenge, kaona atumie fursa kujipigia pesa ili amfurahishe imam
Hahaha hahaha 🤣😂

Kula chuma Chini hapo.

Screenshot_2025-08-01-19-34-57-03_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~3.jpg
 
Back
Top Bottom