Kishazi,
Ni kweli kuna wanawake wenye k*** ndogo kama wanaume walivyo na mb*** ndogo. Sasa inakuwa tatizo hasa pale demu anapokuwa na rafiki wa kiume ambaye ana mb** kubwa kupita kawaida. Kwa kawaida sehemu za siri hasa za wanawake hutanuka, ndio maana mwanamke anaweza kuzaa mtoto mwenye bichwa kuubwa hata ukashangaa amepitaje!!! Sasa basi, ili kuweza kuitanua k*** ya mwanamke juhudi za ziada tena kwa uvumilivu mkubwa zinahitajika. Kabla ya tendo lenyewe wacheze ili kufanya muccus ya mwanamke itoke kwa wingi na kulainisha shemeu zile, pia yatumike mafuta ya kulainisha i.e K-jelly yakutosha. Mwanamume aingize taratibu tena kidogo kidogo hadi apate penetration. Akifikia mahali anapata breakthrough asiache bali aendelee hadi apate full penetration. From there on atakuwa amemaliza kazi. Ikumbukwe pia kwamba wakati mwingine ni uoga tu wa mwanamke unaosababisha misuli ya k*** kukaza hadi wakadhani ana K*** ndogo kumbe ni ya kawaida. Kuna couple moja ilitaka kwenda kwa daktari eti wan matataizo ya kutoweza kupata penetration kumbe ni uoga wa mwanamke na maandalizi mabaya wakati wa tendio lenyewe. Mra nyingi uoga hutokana na labda ubakaji aliofanyiwa msichana akiwa mdogo ndio maana kumbukumbuku yake inamkumbusha huko na hivyo hatoi muccus kulainisha mambo
Kuhusu hili la premature ejeaculation, nami naomba nichangie kidogo. Mara nyingi hili ni tatizo la kisaikolojia kama walivyosema wenzangu lakini linatokana na masturbation iliyokithiri. Mara nyingi masturbation inafanywa na mtu anayeweza kuimagine au ku-fantasize kuwa yuko na mwanamke na sasa anafanya ngono na hapo anashinda goli lake mwenyewe bafuni au chumbani. tatizo sasa ni pale yupo na mwanamke live, unadhani atafanyaje kama si kushinda goli hata kwa kumgusa tu mwanamke? Mie nawaambiaga vijana waache masturbation itawaharibu hawanisikii!!! tatizo jingine la masturbation ni kwamba huwa hawashindi magoli zaidi ya moja wakiwa wanafanya bafuni, ni chapchap wamemaliza!! Hivyo wanapokuwa na mwanamke akili inakuwa imezoea fantasy and quick ejaculation. Tiba yake ni kujua kwamba mtu una tatizo kwa hiyo unajiandaa mapema kwa kumwambia mwenzako kwamba una tatizo na msaidiane. Muanze kwa kucheza kwanza hadi mwenzako afikie karibu na kilele kwa hiyo unapoingia basi unamalizia kwa kufunga na wote mnakuwa mmefika pamoja. Njia ya pili ni kuvaa condom tena SALAMA brand ambayo haina sensitivity kama rough rider and other expensive brands. Pamoja na njia walizosema wenzangu kwamba usimwangalie demu wala kuwaza kuhusu utamu. Njia ya tatau ambayo naiita ni short cut ni kufanya masturbation kwanza kabla ya tendo lenyewe.
Upo hapo Kisahzi na wengineo?
Duuh, mtu wangu nashukuru sana. Niliwahi kumwambia jamaa kuwa inawezekana demu wake aliwahi kuwakumbwa na kubakwa, au ndugu wa huyo msichana aliwahi kubakwa nayo ikamuathiri. But sikuwa na uhakika kiasi hicho, ndipo nikamwambia asubirie nitafute ushauri kwa wadau wangu.
Kuhusu la kufika mapema, niliwahi kuongelea hapo mwanzo kuwa p**nyeto pia inachangia kwa kiasi kikubwa as huwa inaathiri kwa kiasi kikubwa sana saikolojia. Ndio maana nikashauri swala la kutatua saikolojia zaidi as sio swala la kimaumbile saaaaaaana.