Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 21
JF Doctor,
Naomba msaada wako...!
I have my ndugu ambaye girlfriend wake alimkataa kwa sababu eti "jogoo haliwiki vizuri" na hata likiwika basi ni dakika moja au mbili limelala. (erectile dysfunction)
Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation).
Hali hii ilimkasirisha sana girlfriend wake kwani anasema haridhiki au hatosheki na mapigo ya bwana mdogo kwani huwa anamaliza upesi mno kabla yeye hajafikia kileleni.
Sasa naomba unisaidie nimshauri afanyaje? Ni nini haswa chanzo cha erectile disfuntion and premature ejeculation?
Je kuna dawa mahususi ya kutibu erectile dysfunction and premature ejaculation? na kama zipo ni dawa gani haswa? naomba uzitaje
Naomba ushauri wako ili nimnusuru huyu bwana mdogo ambye kwasasa amekua kama mkiwa...!
Naomba msaada wako...!
I have my ndugu ambaye girlfriend wake alimkataa kwa sababu eti "jogoo haliwiki vizuri" na hata likiwika basi ni dakika moja au mbili limelala. (erectile dysfunction)
Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation).
Hali hii ilimkasirisha sana girlfriend wake kwani anasema haridhiki au hatosheki na mapigo ya bwana mdogo kwani huwa anamaliza upesi mno kabla yeye hajafikia kileleni.
Sasa naomba unisaidie nimshauri afanyaje? Ni nini haswa chanzo cha erectile disfuntion and premature ejeculation?
Je kuna dawa mahususi ya kutibu erectile dysfunction and premature ejaculation? na kama zipo ni dawa gani haswa? naomba uzitaje
Naomba ushauri wako ili nimnusuru huyu bwana mdogo ambye kwasasa amekua kama mkiwa...!