Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 610
elimu yangu ya mikopo ni ndogo saaaaana ila ninachojua ni kwamba collateral ya mkopo bank kama si mali isiyohamishika basi ni prove ya mshahara (sio posho) wako ambao wao wana-centre kwenye Pension yako ndio maana hata ukiwa mfanyakazi unapata mshahara wa 100Million/month kama hukatwi pension hukopeshwi (NMB na CRDB) so nakataa kwamba posho inayozungumziwa na wapinzani (sio CDM pekee) eti ndio collateral ya mikopo yao benki.
Kwanza nimpongeze Zito kwa michango yake huko ndani ya mjengo na kwa kupata muda kuwa nasi ndani ya jamiiforums. CRDB wamekuwa mamluki sasa wa kuibia nchi. Ni kweli wao ndio walikuwa kinara wa kupitisha pesa za EPA. Kukopa benki kwa mategemeo utapata posho ndio ulipie mkopo naona hilo ni ndoto za mchana. Pengine CRDB wamefanya hivyo kama walivyofanya EPA. Siwezi nikaamini hata punje walioandika Daily News maana naona imekaa kisiasa zaidi. Bw Zito kongomelea na hili. Tufafanulie zaidi, hata kama ni wewe umekopa (kukopa sio dhambi hata mara moja), tueleze ni kweli ulikopa against Posho, hata kama ni mwenzio kule CDM, tufafanulie kabla ya magamba hawajamwaga sumu kwa watu wetu.