chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 68
Yaani kwa mtazamo wangu 90% ya waheshimiwa wanapigania kuingia bungeni kwa minajili ya kujipatia/kuboresha maisha yao binafsi, hawana nia ya dhati kulikomboa taifa letu na umasikini uliokithiri
Mfano leo sheria ikipitishwa kupunguza posho/maslahi ya waheshimiwa hao (m. 12 per month) thubutuuu!!!!!!!!!! Hutaona tena ubunge ukifukuziwa kwa kutumia nguvu nyingi kama sasa.
Wana wa janvini, hili mwalionaje?
Are there for its own curiosity or for the nation interests??
eep:
Mfano leo sheria ikipitishwa kupunguza posho/maslahi ya waheshimiwa hao (m. 12 per month) thubutuuu!!!!!!!!!! Hutaona tena ubunge ukifukuziwa kwa kutumia nguvu nyingi kama sasa.
Wana wa janvini, hili mwalionaje?
Are there for its own curiosity or for the nation interests??