Je, kuna rekodi zozote za Mbowe kulaani posho na mishahara mikubwa ya ubunge pindi CHADEMA ikiwa na wabunge wengi bungeni?

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
384
2,525
Ni miaka zaidi ya 20 Mbowe na wenzie wa Chadema wamekuwa wakipokea pesa za mishahara ya ubunge na posho za vikao.

Wakati Mbowe na wenzie wanatoka bungeni walikuwa wanapokea mil 13 na posho za vikao juu.

Leo Mbowe anashangaa wabunge wanapewa pesa nyingi wakati watumishi wa umma wanalipwa kidogo.

Je kuna rekodi zozote akikataa mshahara mnono, posho na kuendesha shangingi?
 
Ni miaka zaidi ya 20 Mbowe na wenzie wa Chadema wamekuwa wakipokea pesa za mishahara ya ubunge na posho za vikao.

Wakati Mbowe na wenzie wanatoka bungeni walikuwa wanapokea mil 13 na posho za vikao juu.

Leo Mbowe anashangaa wabunge wanapewa pesa nyingi wakati watumishi wa umma wanalipwa kidogo.

Je kuna rekodi zozote akikataa mshahara mnono, posho na kuendesha shangingi?
Acheni kunyonya damu za watanzania mashetani nyie
 
Limbowe lenyewe fisadi! Sasa hapo lilipo linaumia kukosa hayo maokoto ya kinyonyaji
 
Ni miaka zaidi ya 20 Mbowe na wenzie wa Chadema wamekuwa wakipokea pesa za mishahara ya ubunge na posho za vikao.

Wakati Mbowe na wenzie wanatoka bungeni walikuwa wanapokea mil 13 na posho za vikao juu.

Leo Mbowe anashangaa wabunge wanapewa pesa nyingi wakati watumishi wa umma wanalipwa kidogo.

Je kuna rekodi zozote akikataa mshahara mnono, posho na kuendesha shangingi?
Kinachotokea kwa chadema na viongoz wao ni kujiona kuwa wao ni malaika na hawana upungufu wowote. Chadema wameadhirika kisaikolojia. Hawajui wanaongea nn.
Unaweza kusikia mtu wa cdm au kiongoz wao analalamikia CCM kuhusu democracy. Utajiuliza, democracy ipi? Mbona Mbowe ni mwenyekiti wa kitambo sana. Mbona hawasemi.?
Utasikia John Heche analalamikia kuhusu ziara za Makonda na Slaaa. Utajiuliza. Je, hawa viongoz hawaruhusiwi kutatua matatizo ya watu? Hawatakiwi kutembelea wananch? CDM jirekebisheni hamueleweki.
 
Back
Top Bottom