Jina masawe mfuasi wa mbowe uliye amini CHADEMA ya ni ya wachaga ,unafurahia Lissu kukamatwa eti kisa anadai uchaguzi huru na haki, hakika wewe utakuwa una matatizo makubwa sana akili si bure, na sidhani kama unaijua kesho ya wajukuu zako maana huna future thinking kweli mafisadi ya CCM yamepata watetezi wajinga sana walio amua kuwa wazalendo kwao na sio kwa nchi.Hao ndio wataitoa Dola?
Unashikwa kama kuku?
Yaan bado sana mkuu maneno ya ujasirii ila vitendo vya kidada