Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,580
- 272,323
Wewe ni mjingaWewe utaishi milele?
Kipigo tutawashushia kama kawaida
Nyie ndio mtazuia uchaguzi mkuu kwa stail hiyo?
Wewe ni mjingaWewe utaishi milele?
Kipigo tutawashushia kama kawaida
Nyie ndio mtazuia uchaguzi mkuu kwa stail hiyo?
Yaani wewe ukiniamini inisaidie nini? Lissu kwangu atabaki kuwa muhuni kwa ule ushenzi aliofanya kwenye chaguzi....Uzuri ni kwamba sikuwahi kukuamini hata mara moja
Demokrasia kutukana na kueneza upumbavu?Mbona unakuwa mpuuzi namna hii? Wapenda demokrasi hatujapenda na tunalaani kitendo hicho
ni kwa style hiyo hiyo ndivyo vibaka na matapeli wa kisiasa wengine pia hukamatwa,Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??
Wepesi kama biskuti?
Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.
Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.
Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Huyo kijana ni mamluki anayetumika miaka mingi, lakini uzuri ni kwamba tumemjuaWajinga, mashetani na wapumbavu, ni wale wanaoua wapinzani kwenye chaguzi kisa hawakubaliki.
kiburi na majivuno yenu kitawaangusha kenge nyieZuieni kwa nguvu zenu sasa!!
Jamaa kashikwa kama unamkamta kahaba wa manzese 😂😂😂ni kwa style hiyo hiyo ndivyo vibaka na matapeli wa kisiasa wengine pia hukamatwa,
ni kirahisi mno kwakweli na hakunaga matata kabisa 🐒
Mamluki Heche mmegundua?Huyo kijana ni mamluki anayetumika miaka mingi, lakini uzuri ni kwamba tumemjua
Wewe ni mtu duni sana kwenye nchi hii, Muulize Jiwe aliyekuwa anakutumiaDemokrasia kutukana na kueneza upumbavu?
Lissu time hii akibadilikwa rangi mtasikia msiyotaka kusikia
Asijione yeye ni mjanja sana
Yeye ni mtu wa kawaida tu mbele ya Dola.
Amtafute Mrema Lyatonga ampe simulizi
Mwalimu pambana na kishikwambi chako...akina Lissu wamevimbiwa kwa tonetoneWajinga, mashetani na wapumbavu, ni wale wanaoua wapinzani kwenye chaguzi kisa hawakubaliki.
Hivi Heche siku hizi kaacha uchawa kwa Biteko?Mamluki Heche mmegundua?
Au list nikupe 😂
Sasa Heche si msimamizi wa mishe za Jamaa yetu haha nyie ni wapumbavu sanaWewe ni mtu duni sana kwenye nchi hii, Muulize Jiwe aliyekuwa anakutumia
Wewe mi si kijana pole sana!!Huyo kijana ni mamluki anayetumika miaka mingi, lakini uzuri ni kwamba tumemjua
Kamchezea simba sharubu,atatia akili.Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??
Wepesi kama biskuti?
Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.
Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.
Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Lema jamaa anazikamua haswaMwalimu pambana na kishikwambi chako...akina Lissu wamevimbiwa kwa tonetone
Waliokuwepo uwanjani kwanini hawajasumbua? Yaani Lissu anapoteza nguvu huku wewe umekamatia mbususu hapo unaioumulia tuu mwenzio ananyea debe huko 🤣🤣🤣🤣🤣Na mfahamu kwamba mpinzani si Lissu tu wapo wengine undercover watawasumbua mpaka mshike adabu zenu. Avumaye baharini ni papa, wengine wapo, hata kwenye chama chenu wapo, ni underground
Hakuna wajinga kwenye CCM.Wajinga wako nje ya CCM.Na mfahamu kwamba mpinzani si Lissu tu wapo wengine undercover watawasumbua mpaka mshike adabu zenu. Avumaye baharini ni papa, wengine wapo, hata kwenye chama chenu wapo, ni underground
punguza kejeli hata kama unalipwa kwa kazi hiiSasa Heche si msimamizi wa mishe za Jamaa yetu haha nyie ni wapumbavu sana