Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,382
- 30,953
g55 wamemvuruga kabisa kisaikolojia huyo mjamaa,Jamaa kashikwa kama unamkamta kahaba wa manzese 😂😂😂
Huyo ndio anakuambia atakinukisha😂😂
ndio maana anaropoka ropoka kwa makusudi ili akamatwe na polisi kutafuta kiki atrend, baada ya mikutano aloifanya maeneo mbalimbali kuonekana ni useless na completely nonsense kwa wanachadema na wananchi kwa ujumla 🐒