Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,716
- Thread starter
- #81
Lissu ajawahi kuwa mzalendo ziadi ya kusaka umaarufu wa kipumbavu na kuhudumiwa na mabwana zakeinawezekana ukawa uvccm wa kitengo cha propaganda. Jifunze kuheshimu watu na fahamu kuwa Lissu si adui wa taifa, zaidi Lissu ni mzalendo wa kweli wa taifa hili
Sikia ndg... umjui Tundu bro umjui tulia kabisa
Wanaomjua Tundu wanamkataa mmoja mmoja
Kiburi cha Lissu kwa kudanganywa Kanisa katoliki linamuunga mkono kipo Ukingoni.