johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Naona taarifa za kujiua Katibu mkuu wa Mchungaji Masanja wa Free Church zilitolewa na mapaparazi tu.
Je kuna taarifa zozote rasmi?
Je kuna taarifa zozote rasmi?
Zimetolewa na marehemu mwenyeweNaoma taarifa za kujiuwa Katibu mkuu wa Mchungaji Masanja wa Free Church zilitolewa na mapaparazi tu
Je kuna taarifa zozote rasmi?
Alizitoa kwa nani?Zimetolewa na marehemu mwenyewe
chombo gani? Polisi? polisi ipi Tanzania? hii ya Wambura? HapanaNaoma taarifa za kujiuwa Katibu mkuu wa Mchungaji Masanja wa Free Church zilitolewa na mapaparazi tu
Je kuna taarifa zozote rasmi?
Naoma taarifa za kujiuwa Katibu mkuu wa Mchungaji Masanja wa Free Church zilitolewa na mapaparazi tu
Je kuna taarifa zozote rasmi?
Kuna uzembe mkubwa Sana ktk umefanyika Jeshi la polisiMwili umeshazikwa kisha ndio upelelezi ufanyike?
Au mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu?
Nampongeza masanja kwa kumsamehe mke wake. Sasa amtumikie Mungu wake kiukweli. He is a real man!Kwa hiyo huyu mke wa masanja ataendelea kuishi na masanja kwa hali hii? Hapa labda masanja ajitoe ufahamu na kuinesha dunia kuwa ana uvumilivu na anasamehe kwa upendo mkubwa.
Good question mkuu wakikujibu hili Nami nipe taarifa, why mwili uzikwe kwa haraka hivi?,hii ni cold case tayariMwili umeshazikwa kisha ndio upelelezi ufanyike?
Au mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu?