Nyie si mnasemaga ni sahihi mtu akimfumania mtu na mke wake aadabishwe?Polisi wa hovyo sana sana
Tugawane dhambi., ukibaki nazo zinakuelemeaUnaomba dhambi kabisa mkuu?
sasa unadhani atakubali kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu?!Polisi wamerahisisha sana hili zoezi! Unathibitisha vipi hicho kifo, pasipo kumhoji Mama Mchungaji?
In Tanzania it's guilty till proven innocent..Thats half of the people rotting in Segerea right fucking now.Masanja is innocent until proven guilty. Don't forget that!
Eeeh hii pointMasanja ushamba ulizidi,watu tuna mademu wakali tumetulia tu,nani anamjua mke wa mpoki au jotti ,watoti wa mjini marufuku kupost wake zao mitandaoni
Kwa nchi hii hapo hakuna cha ziadaKwa hiyo hapa ndio mwisho wa uchunguzi na jalada limefungwa
Hii kitu huwa kovu lake haliponi. Yashatukuta wengi si masanja peke yake!Nampongeza masanja kwa kumsamehe mke wake. Sasa amtumikie Mungu wake kiukweli. He is a real man!
Hapana, inamlinda mchungaji na mkewe, maana polisi wanasema mama mchungaji akisindikizwa na mtu mwingine walienda kwa marehemu kumwambia aache kumtumia sms za mapenzi kwa yeye(mama mchungaji) ni mke wa mtu tayari. So inaonekana jamaa ndio kwanza alikuwa anatongoza hajala tundaPolisi taarifa yenu inamuumbua zaidi Mchungaji.
Hata akimwacha halitapona. Ni afadhali kumsamehe...Hii kitu huwa kovu lake haliponi. Yashatukuta wengi si masanja peke yake!
Kama amemsamehe na bado wanaishi pamoja,basi maisha yao wote hao wawili yatakua ni maisha ya wasiwasi sana,hakuna amani tena hapo,na si ajabu siku za mbele baada ya hili tukio kupita ndipo watakuja kuachana.Ameshamsamehe mbona na yupo kwenye mfungo na waumini kwa siku Tano
Hapana, inamlinda mchungaji na mkewe, maana polisi wanasema mama mchungaji akisindikizwa na mtu mwingine walienda kwa marehemu kumwambia aache kumtumia sms za mapenzi kwa yeye(mama mchungaji) ni mke wa mtu tayari. So inaonekana jamaa ndio kwanza alikuwa anatongoza hajala tunda