Mpiga Ulimi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 704
- 337
Wakuu...mkae..mkijua..policcm ni vibaraka wa magamba wao wanatumwa...
Naona wewe ni mgeni sana wa siasa za Tanzania hilo neno vibaka linawahusu ccm, kwa mujibu wa mgombea urais kupitia ccm madaraka nyerere, sasa wewe unadandia mambo husiyo yajuaPolisi watakomesha VIBAKA wa aina yoyote watakaojaribu kupimana UBAVU na serikali halali iliyochaguliwa na wananchi... shabeshiii!
namuona kitwanga kwa mbali akiwa keshatupiamo mambo yake.![]()
Siku ambayo haitasahaulika kwa wapenda demokrasia nchini
Toka siku hiyo utawala unaozingatia haki na sheria ulizikwa rasmi nchini Tanzania.
Hahahaaaaaa..namuona kitwanga kwa mbali akiwa keshatupiamo mambo yake.
Daaaaa watu mnafukunyua, salute sana mkuu!
jamaa anaonekana ni alcoholismHahahaaaaaa..
Anamelemeta?namuona kitwanga kwa mbali akiwa keshatupiamo mambo yake.
Ameeeeen, tunaendelea kumkumbuka sanaYule Mzee alikuwa na uwezo wa kuona mbali sana Mkuu. Mambo aliyosasema miaka 53 iliyopita lakini bado yako valid hadi hii leo. Apumzike kwa amani.
jamaa anatabasamu flani hivi akishatupiamoAnamelemeta?
Nimecheka sana, hapo ukimsachi mifuko ya koti lazima ukute bablishjamaa anatabasamu flani hivi akishatupiamo
Na ndio maana mikusanyiko inakataliwa kwa kuwa mtaanza kudebate. Afadhali wangeacha tu hii mikutano tutolee nyongo zetu. Wsoga hao.Jipu la Lugumi limesababisha spidi ya utumbuaji ipungue chezea wenye nchi yao.
tena yaende sambamba na matukio ya uhalifu ambayo polisi haiyashikii bango.Matukio ya police dhidi ya Demokrasia katika utawala huu inabidi yaandaliwe Uzi maalumu na uwe unafanyiwa "update" kwa kadili yanavyozidi kujitokeza.