Polisi wamsaka ...

Polisi wamsaka ...

Mkuu Samaritan hakuna aliye salama, labda kama maovu yote tunayoyaona nchini mwetu tuyafumbie macho na kuamua kukaa kimya. Kitu ambacho si sawa. Kwanini Watanzania tukae kimya kama tunaona nchi yetu inaharibika? Kwanini tukae kimya kama haturidhiki na uongozi wa nchi na maamuzi yao mbali mbali ambayo yanatuathiri Watanzania? Je, hao wanaotaka kutunyamazisha tusiwakosoe na kukemea maovu mbali mbali nchini wao wana hati miliki ya Tanzania? Jibu ni HAPANA Tanzania ni yetu sote.
Kawaida BAK sioo mzungumzajiii kivileeeee Ukiona ivi Fumba Macho...We are not in peace any more God forbid.
 
Hongera kwa kuamua kufumba macho, wengine wamestuka kufumba macho kwa kuhofia watakapoamua kuyafumbua wanaweza kukutaTanzania yetu imeharibika vibaya sana na hivyo kujutia maamuzi yao ya kuyafumbia macho maovu nchini.

Kawaida BAK sioo mzungumzajiii kivileeeee Ukiona ivi Fumba Macho...We are not in peace any more God forbid.
 
Matukio ya police dhidi ya Demokrasia katika utawala huu inabidi yaandaliwe Uzi maalumu na uwe unafanyiwa "update" kwa kadili yanavyozidi kujitokeza.

Demokrasia nyingine inazaa uasi,unakumbuka Syria walivyoanza?? yalianza maandamano ya amani baadae wakaanza kushoot askari wa doria.wanachokifanya polisi hapa Tz ni kusafisha kichaka cha ndevu chawa wasipate pakujificha.
 
Hawa polisi wetu sasa wamekaa kama hawajielewi wanafuata tu kama nyumbu. Kilaz anawafanya kuwa Vilaz.
 
Polisi nao kuna siku watachoka wataomba jeshi kuwazingira wao ili nao wapumzike na huu upuuzi wa kufanywa kitulizo kwa mwenye maumivu ya kuogopa ukweli.
 
Wanasiasa waliturubuni tupate kuwafuata
Risasi zikajigonga zipate kutupata hiyo zamani
Sikuhizi wanasiasa wadai haki za raia wapate kuzipata
Askari wanazuwia tukose kuzipata.
 
Mimi nilifikiri njia rahisi ya kuongoza ni kuwapa watu enough space ya kuondoa stress zao zote
maandamano,mikutano....we unawaachia tu

JK alikuwa anaita 'upepo tu utapiita'....

Sasa nashangaa Magufuli halijui hili

Halafu tukamuita JK DHAIFU
 
Hawajitambua hawa kama wanatumika katika ubakaji wa demokrasi nchini.

Mkuu kwa askari ni kutekeleza amri kwanza alafu kuuliza baadae
 
Back
Top Bottom