Polisi wamsaka ...

Polisi wamsaka ...

Hivi kuna mtu ambaye bado anabisha kuwa Magufuli hana tendencies za udikteta?
Hii swali yako mtupie MMM.
Inawezekana ni sehemu ya "mabadiliko tuyatakayo."

Au wadanganyika tumeacha kumwombea Baba J.? Bila maombi, mashetani na mapepo yanamletea ukungu na mawingu ya fikra na maamuzi. Tusiache kumwombea, mkiacha kumwombea mtaishi kama mashetani.

Mlifikiri Mkulu anatania aliposema anahitaji kuombewa?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nianze kwa kumuomba GADO samahani kwa kuongezea maneno kidogo kwenye hii cartoon yake...​

kutumbua-vipele-jpg.358151


Hii ndiyo Tanzania, majipu yanachekelea, vipele vikitumbuliwa!​


 
Utafika wakati Magufuli atashindwa kuzuia mabadiliko. Nchi ngumu sana hii.
Magufuli yenyewe ndio "mabadiliko". Wewe jitayarishe tu kuishi kama mashetani na kukaza mkanda.
 
Utafika wakati Magufuli atashindwa kuzuia mabadiliko. Nchi ngumu sana hii.
Magufuli , Tulia na Intelijensia ya polisi ndio kiboko na mbogo wa demokrasia. Hii ni nchi ya Domo-krasi tu na kauli mbiu za ze utamu kwa ajili ya kutongozea wadanganyika.
 
Gari litakalopita katika barabara za mwendo kasi, police kamateni chomoeni matairi mkauze
Polis sasa wanawinda matairi ya Magari ya Magari yanayopita kwenye barabara ya mwendo kasi .
 
Siku zote ukiona mtu anakuzuia usiseme kuhusu yeye ujue anayo MAKANDOKANDO tele na hayo MAKANDOKANDO yanamfanya ashindwe kujiamini.
Pia mtu huyo labda anawalisha wenzake MATANGO PORI na anahofia wewe unaejielewa ukiongea utafanya wanaomezeshwa MATANGO PORI wazinduke.
Labda pia mtu huyo UWEZO wake ni mdogo mno kukabiliana na HOJA zako zilizoshiba ndo zikaenda shule!
anaogopa msihoji Juu ya kivuko cha mwaka 1978 kununuliwa Kwa bilion 8 pia zile bilion 251 zilizopotea Wizara ya Ujenzi Kwa kuwalipa makandarasi hewa .
 
Ni kwa sababu ni mtu asiyekubali kukosolewa.
Yeye anaamini kwamba anayoyafanya hayana sababu ya kukosolewa.

Hivi kwa haya yote kwa nini Mkuu wa nchi amekaa kimya...
 
Haya yote Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kayaweka kwenye ripoti yake ambayo sasa inapigwa vumbi ndani ya Ikulu na hakuna dalili kama itajadiliwa Bungeni.

anaogopa msihoji Juu ya kivuko cha mwaka 1978 kununuliwa Kwa bilion 8 pia zile bilion 251 zilizopotea Wizara ya Ujenzi Kwa kuwalipa makandarasi hewa .
 
Labda Polisi wanataka kujustify manunuzi ya zile Washawasha zao - kwa kuzitumia kuchapa watu. Haingii akirini kwenda kuzuia "mahafari" yanayofanyika ndani, tena kwa hali ya amani kabisa. Sijui Magufuri anaogopa nini. Masikini police nao kama makondoo tu. Wanatii amri bila shuruti na bila kuhoji japo kidogo tu.
Mkuu kwa askari ni kutekeleza amri kwanza alafu kuuliza baadae
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Siku zote ukiona mtu anakuzuia usiseme kuhusu yeye ujue anayo MAKANDOKANDO tele na hayo MAKANDOKANDO yanamfanya ashindwe kujiamini.
Pia mtu huyo labda anawalisha wenzake MATANGO PORI na anahofia wewe unaejielewa ukiongea utafanya wanaomezeshwa MATANGO PORI wazinduke.
Labda pia mtu huyo UWEZO wake ni mdogo mno kukabiliana na HOJA zako zilizoshiba ndo zikaenda shule!
Kwa maana yao hata kwenye kampeni watazuia wapinzani wasiongee? Watanzania tumeshawajua hao serikali kuwa wana madhaifu wanaficha ndiyo maana leo hii bunge linaendeshwa kibubu
 
anaogopa msihoji Juu ya kivuko cha mwaka 1978 kununuliwa Kwa bilion 8 pia zile bilion 251 zilizopotea Wizara ya Ujenzi Kwa kuwalipa makandarasi hewa .
Mradi tunayo kwenye makaratasi hayaozi hayo ni muda tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi kuna mtu ambaye bado anabisha kuwa Magufuli hana tendencies za udikteta?
Sio tendency magufuli anaiga kuwa dikteta kwa tanzania inaonekana wazi amekua dikteta nyumbani kwake sasa kapewa a bigger house so alienda rwanda kufanya orientation ili aje kutekeleza atawa diktate his house na polisi na makonda,nape,january,majaliwa na midoli kadhaa kwenye serikali yake but surely he wount do this for long that is a fact
Uzi huu unaweza kabisa kuwa muafaka kuhusu unyanyaswaji mkubwa unaofanywa na Polisi nchini katika kubaka demokrasi ili kutimiza lengo la Dikteta la Watanzania kuishi kwenye nchi iliyojaa vitisho vya hali ya juu. Kufungua uzi mwingine pia wa manyanyaso ya Polisi nchini RUKHSA.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kwa sababu ni mtu asiyekubali kukosolewa.
Yeye anaamini kwamba anayoyafanya hayana sababu ya kukosolewa.
Burundi wanasema rais ndiye mungu wa pili hapa duniani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya yote Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kayaweka kwenye ripoti yake ambayo sasa inapigwa vumbi ndani ya Ikulu na hakuna dalili kama itajadiliwa Bungeni.
Hiyo basi tena mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom