Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #41
Kuna porith amakamatwa anasafirisha madawa ya kulevyaMara nyingi wanao haribu kesi ni porice.
Kuna porith amakamatwa anasafirisha madawa ya kulevyaMara nyingi wanao haribu kesi ni porice.
kwa vile mahakama imemuachia. cha kufanya hapo unachukua bisu unamchinja.. unaondoka zako unahamia malawi.Hebu fikiria. Mtoto wako wa miaka sita anatoka shule. Akiwa njiani mjinga fulani mwenye akili mbaya kuliko mnyama anamkamata na kumvutia porini, kisha anambaka na kumuumiza sana. Mtoto huyu wa miaka sita analia kwa maumivu, lakini mbakazi anamziba mdomo na kumtishia kumuua ikiwa ataendelea kupiga kelele au kumtaja kwa watu.
Mtoto wako huyu anarudi nyumbani analia na ametapakaa damu kwenye suruali yake. Unamwangalia kwa uchungu na kugundua mtoto wako mdogo kipenzi, miaka sita tu, darasa la kwanza, amebakwa na kuumizwa sana. Unamuuliza nani amefanya hivi anakutajia ni fulani, kwa kuwa anamfahamu aliyembaka.
Unamchukua mtoto na kumpeleka polisi. Polisi wanafungua jarida la kesi, lakini wala hawakuulizi nguo alizobakwa nazo ziko wapi. Mnampeleka mtoto hospitali, daktari anaemtibu wala hafanyi jitihada za kuchukua sampuli ndani ya mtoto na kuzihifadhi ili waje wafanye DNA test.
Kesi inapoenda mahakamani, mbakaji anafungwa kwa ushahidi wa kutambuliwa na mtoto. Lakini baadaye, jaji mtukuka wa mahakama ya rufaa anasema mbakaji aachiliwe huru kwa kuwa wakati wa kesi ile suruali yenye damu aliyokuwa amevaa mtoto haikuletwa mahakamani kama ushahidi. Mbakaji yuko huru.
Fikiria kama huyo mtoto wa miaka sita ni wa kwako, waangalie watoto wako, au watoto wa ndugu yako wa karibu, halafu piga picha wao ndio wamefanyiwa hivyo. Unajisikiaje?
Hii sio hadithi, ni tukio la kweli. Hawa ndio polisi wetu. Hawa ndio madaktari wetu. Hawa ndio majaji wetu. Hodari na makini sana katika kufuatilia kesi za siasa na kufunga watu kwa kesi za kubambikiwa, lakini sio kesi za watoto wa miaka sita kubakwa na kuumizwa.
Sasa niambie kama nikisema nchi yetu Tanzania ni banana republic, una sababu gani za kunibishia?
Reference: Suruali yenye damu ilivyotengua hukumu
Umenitonesha kidonda kilicho moyoni mwangu na mada yako.Chozi limenitoka hakika!Nitarudi baadayeHebu fikiria. Mtoto wako wa miaka sita anatoka shule. Akiwa njiani mjinga fulani mwenye akili mbaya kuliko mnyama anamkamata na kumvutia porini, kisha anambaka na kumuumiza sana. Mtoto huyu wa miaka sita analia kwa maumivu, lakini mbakazi anamziba mdomo na kumtishia kumuua ikiwa ataendelea kupiga kelele au kumtaja kwa watu.
Mtoto wako huyu anarudi nyumbani analia na ametapakaa damu kwenye suruali yake. Unamwangalia kwa uchungu na kugundua mtoto wako mdogo kipenzi, miaka sita tu, darasa la kwanza, amebakwa na kuumizwa sana. Unamuuliza nani amefanya hivi anakutajia ni fulani, kwa kuwa anamfahamu aliyembaka.
Unamchukua mtoto na kumpeleka polisi. Polisi wanafungua jarida la kesi, lakini wala hawakuulizi nguo alizobakwa nazo ziko wapi. Mnampeleka mtoto hospitali, daktari anaemtibu wala hafanyi jitihada za kuchukua sampuli ndani ya mtoto na kuzihifadhi ili waje wafanye DNA test.
Kesi inapoenda mahakamani, mbakaji anafungwa kwa ushahidi wa kutambuliwa na mtoto. Lakini baadaye, jaji mtukuka wa mahakama ya rufaa anasema mbakaji aachiliwe huru kwa kuwa wakati wa kesi ile suruali yenye damu aliyokuwa amevaa mtoto haikuletwa mahakamani kama ushahidi. Mbakaji yuko huru.
Fikiria kama huyo mtoto wa miaka sita ni wa kwako, waangalie watoto wako, au watoto wa ndugu yako wa karibu, halafu piga picha wao ndio wamefanyiwa hivyo. Unajisikiaje?
Hii sio hadithi, ni tukio la kweli. Hawa ndio polisi wetu. Hawa ndio madaktari wetu. Hawa ndio majaji wetu. Hodari na makini sana katika kufuatilia kesi za siasa na kufunga watu kwa kesi za kubambikiwa, lakini sio kesi za watoto wa miaka sita kubakwa na kuumizwa.
Sasa niambie kama nikisema nchi yetu Tanzania ni banana republic, una sababu gani za kunibishia?
Reference: Suruali yenye damu ilivyotengua hukumu
Malawi mbali sana, kijiji cha pili tu.kwa vile mahakama imemuachia. cha kufanya hapo unachukua bisu unamchinja.. unaondoka zako unahamia malawi.
Pole sana Mkuu, inaonekana mtu wako wa karibu alishakuwa mhanga wa tukio kama hili.Umenitonesha kidonda kilicho moyoni mwangu na mada yako.Chozi limenitoka hakika!Nitarudi baadaye
Wewe una dalili za kuwa mbakajiWakifanya unavotaka wewe tutafungwa wengi kwa chuki tu za wabaya wetu mitaani
Daktari alipopelekewa mtoto wa kubakwa, yeye ndiye alitakiwa kufanywa swabs za sehemu za siri za mtoto na kuzihifadhi kama sample ambazo zinaweza kufanyiwa uchunguzi wa DNA. Kumbuka kwamba hata kama mtoto aliogeshwa, ndani ya mwili wake bado angekuwa na vitu kama shahawa za mbakaji. Madaktari wanaelewa utaratibu huu, sasa huyu kwa nini hakufanya?
Wakati wanapanga kukata hiyo rufaa huyo mfungwa siatakuwa Kwanza kashaachiwa huruMkuu, unajua uzito wa ushahidi wa mtoto katika kesi? Katika kesi hii inawezekana kusiwe na collaborating evidence, lakini haiondoi uzito wa ushahidi wa mtoto. Hivyo jaji alitakiwa aangalie sana upande huu.
Mtoto wa miaka sita ukimwambia akadanganye ni fulani kambaka, ukimfanyia cross examination ya juu kutumia mtaalamu wa saikolojia, ataishia kusema baba alisema nimtaje fulani. Jaji anajua kabisa kwamba kama mtoto alisema ni fulani kanibaka uwezekano wa kuwa si kweli ni o.o1%, kwa hiyo hakupaswa kusimamia rufaa kwenye suruali, bali alipaswa kusimamia kwenye ukweli wa aliyosema mtoto.
Kama rufaa ingejenga shaka juu ya ushahidi wa mtoto hapo ningekubaliana na jaji. La sivyo huyu lazima ni jaji kihiyo tu, wale majaji wa Magufuli labda.
Jamhuri inatakiwa kukata rufaa ili hukumu ya huyu jaji mpuuzi itupiliwe mbali.
Mimi nampeleka mtoto wangu hospital mbakaji nampa miezi miwili tu ya kuvuta pumzi ya bure hapa duniani kisha namrudisha mavumbini bila kuacha alama yoyote kisha maisha yanaendeleaMimi sidhani kama tutapelekana polisi, shingo ya mbakaji itakuwa halali bora nifungwe kwa mauaji.
Inaumiza sana.
Unaach tu wanamtoa afu unamtafutia wahuniMimi sidhani kama tutapelekana polisi, shingo ya mbakaji itakuwa halali bora nifungwe kwa mauaji.
Inaumiza sana.
MKuu, kukusanya ushahidi ni kazi ya polisi, sio mzazi. Mzazi anatakiwa kuongozwa na Polisi kujua cha kufanyaInaumiza Sana ,,mzazi kwa Nini hakupeleka hiyo suruali iliyotapakaa ndamu Kama ushahidi huko polisi na mahakamani??
Mkuu, thread ipo ndani ya ushahidi uliotolewa, sio kukisia nini kilitokeaMkuu hisia hazijengi hukumu ingawa zinaletwa kwa kutengenezwa case theory kama hii yako.
Ila waza pia kama huyo anayeitwa mbakaji akawa si mbakaji alisia itakuwaje?
Utakaa mahabusu kwa miaka 3-5 afu utashinda kesi!! Kama ukifanya hivyoKwanini ujisumbue kupeleka kesi mahakamani..wakati Kuna wahuni ukiwapa laki 5 wanamkata mbakaji kiungo chochote utakachotaka wanakuletea..ukitaka korodani zake,mkono,mguu hata macho wanayatoboa ukitaka
Unajua sheria za ushahidi mkuu ?Mkuu, unajua uzito wa ushahidi wa mtoto katika kesi? Katika kesi hii inawezekana kusiwe na collaborating evidence, lakini haiondoi uzito wa ushahidi wa mtoto. Hivyo jaji alitakiwa aangalie sana upande huu.
Mtoto wa miaka sita ukimwambia akadanganye ni fulani kambaka, ukimfanyia cross examination ya juu kutumia mtaalamu wa saikolojia, ataishia kusema baba alisema nimtaje fulani. Jaji anajua kabisa kwamba kama mtoto alisema ni fulani kanibaka uwezekano wa kuwa si kweli ni o.o1%, kwa hiyo hakupaswa kusimamia rufaa kwenye suruali, bali alipaswa kusimamia kwenye ukweli wa aliyosema mtoto.
Kama rufaa ingejenga shaka juu ya ushahidi wa mtoto hapo ningekubaliana na jaji. La sivyo huyu lazima ni jaji kihiyo tu, wale majaji wa Magufuli labda.
Jamhuri inatakiwa kukata rufaa ili hukumu ya huyu jaji mpuuzi itupiliwe mbali.
Najua uzito wa ushahidi wa mtoto; katika sheria watoto ni malaikaUnajua sheria za ushahidi mkuu ?
Kisheria ushahidi wa mtoto unahitaji kuongezewa nguvu na ushahidi wa ziada hata kama utakuwa na mashahidi mia tano ambao ni watoto kama huna ushahidi wa ziada utakuwa unapoteza muda tu except in special circumstancesNajua uzito wa ushahidi wa mtoto; katika sheria watoto ni malaika