jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,691
- 7,557
Lakini office ya DPP si ndiyo inatowa maelekezo ya Upelelezi kwa police Kama kuna mapungufu yarekebishwe ndiyo kesi ipelekwe Mahakamani!? Kwa hiyo hapa aliefeli ni DPP!!MKuu, kukusanya ushahidi ni kazi ya polisi, sio mzazi. Mzazi anatakiwa kuongozwa na Polisi kujua cha kufanya