LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 28,824
- 45,346
Ningekuwa polisi basi ningekuwa polisi wa ajabu sana!. Nisingetekeleza amri za kikatili kwa raia wasiokuwa na hatia, nisingefyatua bomu la machozi wala risasi ya aina yoyote ile. Kama ni kutajirika kwa ajili ya kazi hiyo basi huo utajiri unipishilie mbali sitaki kudhulumu maisha ya watu kwa namna yoyote ile