Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Kwa hiyo wao hawana akili?Tumewalaumu, incluing me, polisi sana. Nina wazo tofauti kidogo...To me polisi hawa wadogo wanatumwa na akina Mulilo , IGP Wambura, Samia, may be na Mchengelwa, Makalla, Chalamila and to th least Wasira. Hawa wanatekeleza amri wanazopewa.
na inawewekana wanapewa na amri ya kuwapeleka mateka wao mabwepande /ununio na kuwavunja vuja.........