Halafu unakuta hii comment imeandikwa na mwanaume wa Dar. Wale ambao panya road walivyoibuka hawakupiga simu Mloganzila waje wawasaidie bali walikuwa wanahitaji msaada kutoka kwa hao wenye 'divisheni foo'.Wamempiga sana na kumfanyia unyama wa kila aina na sasa yuko hoi katika chumba cha ICU.
Daktari mmoja bingwa ni zaidi ya polisi 3000
Ni mambo yanayotendeka katika dunia ya tatu.Wamempiga sana na kumfanyia unyama wa kila aina na sasa yuko hoi katika chumba cha ICU.
Daktari mmoja bingwa ni zaidi ya polisi 3000
Polisi walikimbia sana walipovamia Panya Road. Kituo cha Polisi Ilala Polisi walijifungia ndani huku wakitetemekaHalafu unakuta hii comment imeandikwa na mwanaume wa Dar. Wale ambao panya road walivyoibuka hawakupiga simu Mloganzila waje wawasaidie bali walikuwa wanahitaji msaada kutoka kwa hao wenye 'divisheni foo'.
Nachoka mimi Baba yenu Ministrant
Walijifungia ndani na bado uliwaona wakitetemeka. HahahaaaPolisi walikimbia sana walipovamia Panya Road. Kituo cha Polisi Ilala Polisi walijifungia ndani huku wakitetemeka
Daktari mmoja bingwa ni zaidi ya polisi 3000✔Wamempiga sana na kumfanyia unyama wa kila aina na sasa yuko hoi katika chumba cha ICU.
Daktari mmoja bingwa ni zaidi ya polisi 3000
HakikaDaktari mmoja bingwa ni zaidi ya polisi 3000✔
Hamna raia anayeweza kumshambulia raia mwenzake anayempiga polisiDastardly hakupigwa na Polisi, yeye ndiye aliyempiga Polisi. Dastardly alipigwa na Raia wema, kikawaida wangemuua lakini.....akaokolewa na Polisi ndiyo akapelekwa hospitali. Kwa nini kitu raising kama hiki hukioni,