Black joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 1,342
- 2,691
Kwa hao navyojua wanajihukumu wenyewe kwa mabaya yao yaliyomengi kuliko mazuri yaoMbona kikwete na samia hamu wahukumu kwa mazuri yao badala yake mnawahukumu kwa mabaya yao tu?
Kwa hao navyojua wanajihukumu wenyewe kwa mabaya yao yaliyomengi kuliko mazuri yaoMbona kikwete na samia hamu wahukumu kwa mazuri yao badala yake mnawahukumu kwa mabaya yao tu?
Mwanasiasa akikwambia nje kuna mvua inanyesha toka ukahakikishe mwenyewe.Na alitengeneza pesa kipindi cha magu
Nchi hii kila utawala ukingia kuna wanaoumia na wanaolia 😄
Ova
Unaandika kama kanya bata, Magufuli amechaguliwa na kambi ya Lowasa kumkomowa Kikwete.M
Mimi nakuunga mkono pwent yako japo wkt ule nyinyi Chadema mlikuwa mnamwita Nyampala wa kazi.!!!
Wana CCM pia mkatutukana sijui hatuna Elimu vilaza wana CCM maboya !!
lknTulipambana awe Rais sababu tulitangulia kumjua kumuhusu rip JPM leo sasa ndio mmegundua baada ya miaka6 kuwa kumbe mlimpinga JEMBE. !!!
Wana CCM vilaza kwamiaka 6 nyuma walikuwa mbele ya Muda kwenu!!!!¿¿😇😇😇😂
Leo hii tena tunapambana kuakikisha Rais Samia Suluhu Hassan anarudi Ikulu sisi tunajua msioyajua msiotaka kuyajua adui yetu ni m1 tu kwapamoja ni maendeleo sisitunamjua SAMIA ndio Suluhu ya matatizo kwasasa !!!
Nasasa mnafanya kosa lilelile¿¿
fungua Akili zaid wanaompinga Samia kwa hoja zaifu mfano eti anaharibu nchi kivipi yani???
Utasikia jina la Abdul gari la B7 ushaidi hakuna jina la kichina vitu vya kutunga tu au propaganda za kitoto!!!
tukumbuke hata JPM katia kupingwa ki propaganda kibao!!
SAMIA vip anaharibu nchi wakati nchi ipo kwenye Project kubwa ya Ujenzi kwanzia SGR barabara Madaraja nk!!!
leo unadanganya kitoto eti Samia anaharibu nchi kiaje yani!!!
Kwaiyo zana hii ili uwamini kweli Rais Samia anaharibu nchi kwanza lazima uwe na kishikio cha chuki yoyote na Rais Samia !!!
chuki yako ndio itakuongoza kuamini uwongo wa kitoto juu ya Rais Samia!
tofaut na mwanaCCM mwanaCCM mnaodhani vilaza lkn kwenye nafsi yake zambi ya chuki hana !!
.
kwaiyo ukitaka mfanane akili jambo ujipange kujieleza kwa hoja za kukosa maendeleo!!!
sio kichuki ya sababu yoyote nyengine unakwama asubui tu!!
Ndiomana wanaCCM wanajazana kwenye mikutano jua lao popote wapo maendeleo wanayaona wenyewe TV wanazo radio zipo magazeti yapo!!
adui mkuu ni maendeleo yetu SAMIA yupo kwenye kusimamia ayo Maendeleo nchi nzima !!
Sasa unampinga kwa vigezo vip zaid !!
Embu tuone pengine ipo hoja??
Tuweke maelezo kwanini Rais Samia wanasema anaharibu nchi jibu lipo??
Weka jibu au majibu hapa.............................
Hadi leo hii wanauwawa na Serikali hii hii. Mfano, Mdude and others.Nikiona mtu anakuja na ngonjera za kumsifia katili magufuli namuona kama mpuuzi tu, kipindi cha magufuli watu wameiba pesa za umma. Kina makondo, sabaya ni mabillionear kupitia magufuli, magufuli amaea watu kwa maslah yake binafs.
Polepole anapozidi kumshambulia Samia kwa kumtafutia huruma JPM anachoshindwa kuelewa ni ukweli kwamba kwa kufanya hivyo anazidi kujenga mazingira ya kumchafua pia hayati JPM.Lisu ndio alimjuwa vizuri JPM na kumuita Dikteta uchwara.
Mpaka sasa kushambuliwa kikatili kwa Lisu ni ngumu kwangu kumuona Magufuli ubinadamu wake, shambulio la Lisu lina mkono wa Magufuli moja kwa moja.
😄Mwanasiasa akikwambia nje kuna mvua inanyesha toka ukahakikishe mwenyewe.
Tatizo kubwa la nchi yetu ni vita ya makundi ya kisiasa na Wananchi kugeuzwa sheen guard.Polepole anapozidi kumshambulia Samia kwa kumtafutia huruma JPM anachoshindwa kuelewa ni ukweli kwamba kwa kufanya hivyo anazidi kujenga mazingira ya kumchafua pia hayati JPM.
Anatumia siasa za hatari kwa kuangalia upande mmoja tu.
We we utakuwa mchaga watu ambao walitengeneza mtandao wa kupiga pesa serikalini na kwenye mashirika na makampuni yenye pesa.Kitu pekeee ambacho ccm haitaruhusu ni kumpata rais km magu cha kufanya ni kudai reforms tuingize mkuda kwny system wa kuwavurugia madiri yao nyau hawa
Walioumizwa nae moja kwa moja hawawezi kumsahau mpaka siku wanaondoka juu ya uso wa dunia.Tatizo kubwa la nchi yetu ni vita ya makundi ya kisiasa na Wananchi kugeuzwa sheen guard.
Tabia za ukatili za Magufuli huwezi kuzisafisha hata kwa Jik.
Athari za Magufuli bado zitatuandama kwa muongo mzima ujao.
Just to put records straight...wabunge wote walio leta hii hoja ya kuongezwa muda hawakurudi 2020 hio ndo ilikua adhabu yao. Juma Nkamia, Kangi Lugola na Kessy.! Ni vile tu watu hamfuatilii mambo na ku connects dots.Sema tena na tena. Alikuwa anatumia approach ya ajabu kabisa kwenye kuongoza. Nikupe mfano mwingine: Polepole anasema yule mbunge mjinga aliyependekeza eti Magufuli aongozewe muda wa urais, alitumwa na wana mtandao ili kumfanya Magufuli aonekane kuwa ni mroho wa madaraka. Well, inaweza kuwa ni kweli. Lakini hatua alizochokuwa ku deal na huyo mbunge zilikuwaje? Alimwita Polepole na kumlalamikia kuwa anahujumiwa na mtangulizi wake na kumwambia aseme kuwa Magufuli hataki kuongezewa muda. Je, alifanya nini kwa huyo mbunge mjinga ambaye alikuwa anamhujumu? Mbona hatukusikia anapewa onyo au adhabu nyingine yoyote?
Ukabila sio mzuri hatimaye alisalitiwa na msukuma mwenzieMakonda ndiye alitoa password kwa wauaji wa Magufuli ndiyo maana yuko pamoja nao leo hii bega kwa bega.
Maelezo ya Polepole ndiyo yamenifungua macho kuwa ni kwa nini kauli za kuonesha maisha yake yapo hatarini zilikuwa nyingi.#mtanikumbuka
Kiukweli mzee alikuwa anatambua hana maisha marefu,kauli zake mingi zilikuwa kama mtu anajiandaa kuondoka
JPM🕊️
Kwa ivo unatudhihirishia kuwa CCM kumejaa mafisadi?Nimesema machche lakini nataka nikuhakiishie hata Magufuli hakuwa na uchungu na mali za umma, bali alikuwa ni fisadi sawa na mafisadi wengine wa CCM.
Simple atokeze mtu mwingine atetee mazuri ya jk na aseme mabaya ya magufuli tupime kwa mzani kama hamna means Jpm ni mshindi uko alipoPolepole anapozidi kumshambulia Samia kwa kumtafutia huruma JPM anachoshindwa kuelewa ni ukweli kwamba kwa kufanya hivyo anazidi kujenga mazingira ya kumchafua pia hayati JPM.
Anatumia siasa za hatari kwa kuangalia upande mmoja tu.
Hakuwa na ukabila mwamba mbona mama anauzanzibar usemi, Yesu alisalitiwa na mwanafunzi wake sembuse huyuUkabila sio mzuri hatimaye alisalitiwa na msukuma mwenzie
Watu wa Masaki mmekuja na hoja dhaifu sana.... Magufuli hakuwa mkabila ila watu wa Kanda ya ziwa walifurahia kupata Rais kutoka kwao.Ukabila sio mzuri hatimaye alisalitiwa na msukuma mwenzie