kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,698
- 12,099
Watanzania hawajui hua wanahitaji niniAmechelewa mnooo, hawa ndiyo tulikuwa tunapambana nao usiku na mchana kuwafumbua macho juu ya uzalendo wa magu, waliweka masikio pamba.
Acha wateseke
Watanzania hawajui hua wanahitaji niniAmechelewa mnooo, hawa ndiyo tulikuwa tunapambana nao usiku na mchana kuwafumbua macho juu ya uzalendo wa magu, waliweka masikio pamba.
Yapo ya msingi sana kama uliyoainisha na kuweka misingi mizuri ya kiutawala!! Ila nilipokuja ingia mashaka ni pale kuongeza kinga kwa viongoz wengine!!!Wakati akiwa hai nilikuwa namuona John Pombe Magufuli pamoja na kutaka aonekane mzalendo, niliona kuwa ni mtu asiye na nia njema Kwa Taifa letu na mtaka sifa.
Lakini baada ya Polepole kuelezea mambo mengi yaliyokuwa yanafanyika nyuma ya pazia, sasa nimeanza kuelewa kuwa Magufuli alikuwa na dhamira njema kwa Tanzania.
Kumbe Magufuli baada ya kugundua fedha zinachotwa serikalini, yeye akaamua kuziwekeza kwenye miradi ili kama ni madeni ni bora watanzania walipe lakini wakiwa wana miundombinu inayowasaidia kuendesha maisha yao.
Zile hotuba zake kama anapambana na mara majeshi au watumishi wa Serikali, Leo zinaleta mantiki zaidi kuliko wakati akizitoa.
Magufuli alikuwa anajua yupo peke yake kwenye harakati za kuijenga Tanzania maana hata watu kama Makonda kumbe nao Wana vimelea vya CCM mtandao.
Ukweli utajulikana siku moja.
Ukiona mjinga anamsifia magufuli ujue hana akili.Makonda kakodi coaster sita za kampeni na bado kuna pesa kawalipa wajumbe wakampitisha jina. Dogo ana pesa nyingi.
Kwani unaona nimekwambia aliyepo ana nafuu?.Hadi leo hii wanauwawa na Serikali hii hii. Mfano, Mdude and others.
Hapo vipi.
Hiyo ilikuwa tabia yake ya asili. Hata alipokuwa waziri tabia hiyo ilikuwa wazi.Ukanda siyo kweli.... Hizi ni propaganda tu. Ila la kukataa kukosolewa ndiyo linaloleta ukakasi. Jee ilikuwa ni tabia yake ya asili au ni matokeo ya taarifa alizokuwa anapewa?
Ukiona hivyo ujue hata huko kwenye vyombo waliojaa ni watu waovu ...ndege wafananao huruka pamoja.Lawama kubwa zinaenda Kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama...Wanalinda waovu zaidi ya kulinda watu wema, walio na maamuzi wengi wanakuwa corrupted na wanaobaki wanakuwa hawana namna ya kufanya
Wauaji hawa wameiga toka kwake, maana wanaona uovu ni mbinu iliyomsaidia pakubwa.Magufuli alikuwa na mabaya yake pamoja na mazuri yake,lakini ukipima kwenye mizani mazuri aliyoyafanya katik nchi hii ni mengi mno.
Na ninaamini hata mauji mengi yalifanywa na wanamtandao ili kuichafua hadhi yake na urasi wake
Kama yeye tu ndio alikuwa muuaji basi inamaana baada ya kifo chake haya mambo yangekoma,lkn mbona yanaendelea tena kwa kiwango cha juu?
Think big
Magufuli amechangia pakubwa ushenzi huu.Kwani Kuna upinzani Tanzania? Mbona we mgumu kuelewa? Kwahiyo Kwa akili yako hata Sasa Kuna mtu anayepingwa na yeyote kweli au ni drama tu kuridhisha personal desires?
Hajachelewa, maana mungu amependa atambue sasa,pia kawakilisha wengine wengi ambao nao wamejua leo,ndio nati zimefunguka sasa.Umechelewa sana kujua mkuu
Yaani taarifa zinazotoka sasa na weledi wa kundi la wanamtandao kwenye kufanya mambo yao... Inafikirisha sana.Magufuli amechangia pakubwa ushenzi huu.
Ni kweli, lakini uovu mwingi aliokuwa anaufanya Magufuli ulikuwa ni wazi ni wake.Yaani taarifa zinazotoka sasa na weledi wa kundi la wanamtandao kwenye kufanya mambo yao... Inafikirisha sana.
Kadanganye wajinga wenzako kwenye kahawa uko. Nonsense kabisa.Hata hivyo Samia amejitahidi kwa kiasi kikubwa kupunguza uchafu huo japo hajamaliza.
Duhnikiwakumbuka keyboard warriors, nyie Netizens wa humu etc
nacheka... u GT wa humu sio wa kila mtu...
Napita kimya hapa kwasababu wengine na mie tusio hata wanachama wa chama chochote...
kama mie sina la kusema siku hizi. Aliyefurahiwa ndio atashine 2025 ni Mwanamke.
Wanawake oyeeeee...
Kazi iendelee....
Huyu dada gallow bird yeye humwambii kitu kwa samiaMagufuli alikuwa na mabaya yake pamoja na mazuri yake,lakini ukipima kwenye mizani mazuri aliyoyafanya katik nchi hii ni mengi mno.
Na ninaamini hata mauji mengi yalifanywa na wanamtandao ili kuichafua hadhi yake na urasi wake
Kama yeye tu ndio alikuwa muuaji basi inamaana baada ya kifo chake haya mambo yangekoma,lkn mbona yanaendelea tena kwa kiwango cha juu?
Think big
Unakosolewa na kibaraka wa wahuni kama Mbowe unategemea nini?Shida yake kubwa ilikuwa ni ukabila na ukanda, pamoja na kushindwa kukubali kukosolewa
Unaweza kuta mwanamtandao huyo au mnufaika mmoja wapoHuyu dada gallow bird yeye humwambii kitu kwa samia
Hapana siyo hivyo sababu ni diniUnaweza kuta mwanamtandao huyo au mnufaika mmoja wapo