M
Wakati akiwa hai nilikuwa namuona John Pombe Magufuli pamoja na kutaka aonekane mzalendo, niliona kuwa ni mtu asiye na nia njema Kwa Taifa letu na mtaka sifa.
Lakini baada ya Polepole kuelezea mambo mengi yaliyokuwa yanafanyika nyuma ya pazia, sasa nimeanza kuelewa kuwa Magufuli alikuwa na dhamira njema kwa Tanzania.
Kumbe Magufuli baada ya kugundua fedha zinachotwa serikalini, yeye akaamua kuziwekeza kwenye miradi ili kama ni madeni ni bora watanzania walipe lakini wakiwa wana miundombinu inayowasaidia kuendesha maisha yao.
Zile hotuba zake kama anapambana na mara majeshi au watumishi wa Serikali, Leo zinaleta mantiki zaidi kuliko wakati akizitoa.
Magufuli alikuwa anajua yupo peke yake kwenye harakati za kuijenga Tanzania maana hata watu kama Makonda kumbe nao Wana vimelea vya CCM mtandao.
Ukweli utajulikana siku moja.
Mimi nakuunga mkono pwent yako japo wkt ule nyinyi Chadema mlikuwa mnamwita Nyampala wa kazi.!!!
Wana CCM pia mkatutukana sijui hatuna Elimu vilaza wana CCM maboya !!
lknTulipambana awe Rais sababu tulitangulia kumjua kumuhusu rip JPM leo sasa ndio mmegundua baada ya miaka6 kuwa kumbe mlimpinga JEMBE. !!!
Wana CCM vilaza kwamiaka 6 nyuma walikuwa mbele ya Muda kwenu!!!!¿¿😇😇😇😂
Leo hii tena tunapambana kuakikisha Rais Samia Suluhu Hassan anarudi Ikulu sisi tunajua msioyajua msiotaka kuyajua adui yetu ni m1 tu kwapamoja ni maendeleo sisitunamjua SAMIA ndio Suluhu ya matatizo kwasasa !!!
Nasasa mnafanya kosa lilelile¿¿
fungua Akili zaid wanaompinga Samia kwa hoja zaifu mfano eti anaharibu nchi kivipi yani???
Utasikia jina la Abdul gari la B7 ushaidi hakuna jina la kichina vitu vya kutunga tu au propaganda za kitoto!!!
tukumbuke hata JPM kapitia kupingwa ki propaganda kibao!!
SAMIA vip anaharibu nchi wakati nchi ipo kwenye Project kubwa ya Ujenzi kwanzia SGR barabara Madaraja nk!!!
leo unadanganywa kitoto eti Samia anaharibu nchi kiaje yani!!!
Kwaiyo zana hii ili uwamini kweli Rais Samia anaharibu nchi kwanza lazima uwe na kishikio cha chuki yoyote na Rais Samia !!!
chuki yako ndio itakuongoza kuamini uwongo wa kitoto juu ya Rais Samia!
tofaut na mwanaCCM mwanaCCM mnaodhani vilaza lkn kwenye nafsi yake zambi ya chuki hana !!
.
kwaiyo ukitaka mfanane akili jambo ujipange kujieleza kwa hoja za kukosa maendeleo!!!
sio kichuki ya sababu yoyote nyengine unakwama asubui tu!!
Ndiomana wanaCCM wanajazana kwenye mikutano jua lao popote wapo maendeleo wanayaona wenyewe TV wanazo radio zipo magazeti yapo!!
adui mkuu ni maendeleo yetu SAMIA yupo kwenye kusimamia ayo Maendeleo nchi nzima !!
Sasa unampinga kwa vigezo vip zaid !!
Embu tuone pengine ipo hoja??
Tuweke maelezo kwanini Rais Samia wanasema anaharibu nchi jibu lipo??
Weka jibu au majibu hapa.............................