justuskipara
Member
- Oct 21, 2013
- 76
- 15
Hiyo yote imesababishwa na kikwete,kama kikwete na udhaifu wake anaelekea kumaliza kila mmoja anajiona anafaa kuwa rais wa Tanzania hata mimi naweza
1. Edward Lowassa
2. Bernad Membe
3. January Makamba
4. Asha-Rose Migiro
5. Samwel Sita
6. Fredrick Sumaye
7.
8.
9.
Patachimbika...
Jf' ni sehemu nzuri sana yakuwajua watu wenye sura mbili. Wewe pia alhamdulilah nilishakujua kitambo sana. Hiyo itikadi uisemayo najua pia wewe ndio inayokuendesha ndio maana tofauti na ilivyokawaida yako ya kuhoji credibility ya taarifa ziletwazo humu kuhusu shemeji Mbowe na uwapendao leo ile akili umeitia mfukoni na kugeukia na kushupalia haya majungu.[/QUOTE
It takes one to know one.
wanaccm wakifanya haya si wadini! Tusubiri tutashuhudia mengi,
Haya ndio madhala ya nchi ya kitu kidogo...! Elimu upewe bure na udai posho juu?Hapa Uwanjani Vijana wa toyo wameamua kuwa wakali hasa baada ya January kuwaita wakiamini kuna jambo la msingi kwa ajili kumbe ni Siasa tu.
Vijana hawa wamekomalia kudai posho pamoja na hela ya wese. January alichowajibu eti yeye alikuja kuwapa Semina kwa ajli ya usalama wao na juu ya Bima.
Kama kweli Makamba aliwajibu hivyo wana ruvuma, alichemka. jibu lilikuwa rahisi tu kuwa Katiba haisemi akitoka Muislamu , basi muislamu mwingine asigombee, full stop. kwa mujibu wa Katiba ya Jamahuri ya muungano wa Tanzania, J.Makamba ana haki ya kugombea urais.Hapa Uwanjani Vijana wa toyo wameamua kuwa wakali hasa baada ya January kuwaita wakiamini kuna jambo la msingi kwa ajili kumbe ni Siasa tu.
Vijana hawa wamekomalia kudai posho pamoja na hela ya wese. January alichowajibu eti yeye alikuja kuwapa Semina kwa ajli ya usalama wao na juu ya Bima.
Maswali ya Wanatoyo hawa yamekuwa mengi na wameonekana kuwa na jazba sana wanauliza Bima kwa utaratibu upi na kwa kutumia mfuko gani na swala la usalama wanasema Polisi wanatosha.
"Bwana we jamaa sisis tupatie posho na hela ya mafuta kutoka huko tulikotoka mpaka kufika hapa............. we huna jipya umekuja hapa kutuongezea umaskini tu.........." walisikika baadhi ya wanatoyo.
Ila hivi kweli January Makamba tunajua your too ambitious ila hivi kweli umeshindwa kuwa Mbunifu kabisa mpaka kuamua kushindia uji wa matanga???
DSM wiki jana Lowassa alifanya jambo hili hili tena kwa mafanikio makubwa mno. Leo iweje nawe uje na wazo lile lile tena tshirt umeiga za huyo Bwana?? Kijana gani usiyechemsha ubongo wako??
Sasa leo kama una copy na kupaste huo Urais ukiupata itakuwa je?? Very disappointing Kijana wa namna yako ni buree. Ruvuma walikuuliza iweje Rais anayetoka madarakani awe Muislamna wewe unayetaka kuingia uwe Muislam ukaishi kujibu kuwa mkeo ni Mkristo sasa anayeongoza Nchi ni Mke au Mume??
Urais ni taasisi comrade na hauji kwa uzoefu wa kuwa proof reader..........
JITATHMINI
jk tutamlaumu kwa kuufanya uraisi uwe kitu chepesi kiasi kwamba hata machizi wanawaza kuwa maraisi
Hapa Uwanjani Vijana wa toyo wameamua kuwa wakali hasa baada ya January kuwaita wakiamini kuna jambo la msingi kwa ajili kumbe ni Siasa tu.
Vijana hawa wamekomalia kudai posho pamoja na hela ya wese. January alichowajibu eti yeye alikuja kuwapa Semina kwa ajli ya usalama wao na juu ya Bima.
Maswali ya Wanatoyo hawa yamekuwa mengi na wameonekana kuwa na jazba sana wanauliza Bima kwa utaratibu upi na kwa kutumia mfuko gani na swala la usalama wanasema Polisi wanatosha.
"Bwana we jamaa sisis tupatie posho na hela ya mafuta kutoka huko tulikotoka mpaka kufika hapa............. we huna jipya umekuja hapa kutuongezea umaskini tu.........." walisikika baadhi ya wanatoyo.
Ila hivi kweli January Makamba tunajua your too ambitious ila hivi kweli umeshindwa kuwa Mbunifu kabisa mpaka kuamua kushindia uji wa matanga???
DSM wiki jana Lowassa alifanya jambo hili hili tena kwa mafanikio makubwa mno. Leo iweje nawe uje na wazo lile lile tena tshirt umeiga za huyo Bwana?? Kijana gani usiyechemsha ubongo wako??
Sasa leo kama una copy na kupaste huo Urais ukiupata itakuwa je?? Very disappointing Kijana wa namna yako ni buree. Ruvuma walikuuliza iweje Rais anayetoka madarakani awe Muislamna wewe unayetaka kuingia uwe Muislam ukaishi kujibu kuwa mkeo ni Mkristo sasa anayeongoza Nchi ni Mke au Mume??
Urais ni taasisi comrade na hauji kwa uzoefu wa kuwa proof reader..........
JITATHMINI
Mimi nimeshasema mgombea yoyote wa CCM asijeakajipitisha kwangu kuomba kura anapoteza muda wake! Hawa ni matapeli wazoefu wa kisiasa, wana uzoefu wa mika 52 wa kudanganya watanzania.