Duru: January Makamba kuteuliwa Balozi

Duru: January Makamba kuteuliwa Balozi

Nsumba-ntale

Member
Joined
May 24, 2026
Posts
15
Reaction score
80
Taarifa za ndani ya viunga vya mteuzi zinaeleza, bwana January Makamba ambaye ni Waziri wa zamani hivi karibuni atateuliwa kuwa Balozi

Vilevile, Nape Nnauye inatarajiwa atateuliwa awe Waziri wa habari kwa awamu nyingine na atasaidiwa na Simai. Wizara ya michezo itakuwa Wizara kamili na Mwijuma almaarufu mwana FA, rasmi atateuliwa awe Waziri wa Wizara hiyo

Paul Makonda atahamishiwa Wizara nyeti inayoongozwa na mwanamke ambaye inatarajiwa atatenguliwa kwa sababu ya ukaribu wake na Yuda

Mda ni mwalimu.
 
"Tusiseme hatuna matatizo kwa kuyaficha matatizo yetu wenyewe. Ujasiri wa taifa hauko katika kuficha kasoro zake, bali katika kuzikubali na kuzitatua." Mwalimu J K Nyerere.
 
Taarifa za ndani ya viunga vya mteuzi zinaeleza, bwana January Makamba ambaye ni Waziri wa zamani hivi karibuni atateuliwa kuwa Balozi

Vilevile, Nape Nnauye inatarajiwa atateuliwa awe Waziri wa habari kwa awamu nyingine na atasaidiwa na Simai. Wizara ya michezo itakuwa Wizara kamili na Mwijuma almaarufu mwana FA, rasmi atateuliwa awe Waziri wa Wizara hiyo

Paulo Makonda atahamishiwa Wizara nyeti inayoongozwa na mwanamke ambaye inatarajiwa atatenguliwa kwa sababu ya ukaribu wake na Yuda

Mda ni mwalimu.
Waziri wa Ulinzi ni nani?
 
Taarifa za ndani ya viunga vya mteuzi zinaeleza, bwana January Makamba ambaye ni Waziri wa zamani hivi karibuni atateuliwa kuwa Balozi

Vilevile, Nape Nnauye inatarajiwa atateuliwa awe Waziri wa habari kwa awamu nyingine na atasaidiwa na Simai. Wizara ya michezo itakuwa Wizara kamili na Mwijuma almaarufu mwana FA, rasmi atateuliwa awe Waziri wa Wizara hiyo

Paulo Makonda atahamishiwa Wizara nyeti inayoongozwa na mwanamke ambaye inatarajiwa atatenguliwa kwa sababu ya ukaribu wake na Yuda

Mda ni mwalimu.
Kwanza huyo mwanamke hawezi kutenguliwa maana shepu yake inamzuzua mtu. Makamba hawezi kuwa balozi maana huyu ni mtu wa yule Yuda
 
Taarifa za ndani ya viunga vya mteuzi zinaeleza, bwana January Makamba ambaye ni Waziri wa zamani hivi karibuni atateuliwa kuwa Balozi

Vilevile, Nape Nnauye inatarajiwa atateuliwa awe Waziri wa habari kwa awamu nyingine na atasaidiwa na Simai. Wizara ya michezo itakuwa Wizara kamili na Mwijuma almaarufu mwana FA, rasmi atateuliwa awe Waziri wa Wizara hiyo

Paulo Makonda atahamishiwa Wizara nyeti inayoongozwa na mwanamke ambaye inatarajiwa atatenguliwa kwa sababu ya ukaribu wake na Yuda

Mda ni mwalimu.
Hiyo inatusaidia nini sisi
 
Kwanza huyo mwanamke hawezi kutenguliwa maana shepu yake inamzuzua mtu. Makamba hawezi kuwa balozi maana huyu ni mtu wa yule Yuda
ohooo inawezekana ili kupunguza joto nchini njia sahihi kumwondoa kidogo lazima umpe kazi January usione haonekani majukwani yupo katikati Yao ccm inawagombea watatu akiba

mosi ,nchimbi John ,baada ya nchimbi lazima awe January baada ya January lizione kikwete nae ajitunze
 
Vilevile, Nape Nnauye inatarajiwa atateuliwa awe Waziri wa habari kwa awamu nyingine na atasaidiwa na Simai. Wizara ya michezo itakuwa Wizara kamili na Mwijuma almaarufu mwana FA, rasmi atateuliwa awe Waziri wa Wizara hiyo
Kama haileti Pesa, kwetu hai make sense.

Be a Man, focus na changamoto halisi za maisha yako kwa ajili ya ustawi wa familia yako na kizazi chako.
 
Back
Top Bottom