Pole January Makamba

Pole January Makamba

Naona vijana wamechoka kuwa Taifa la kesho... Chadema Zitto anataka kuwa rais, CCM January Makamba, Nccr ni Kafulila. Ngoja tuone vibabu vs tuvijana...patamu hapo.

Uwii yani Kafulila nae awe rais wa Tz? Duh hii taasisi imeshuka hadhi kabisa...
 
Jk kaufanya urais umekuwa kitu cha mchezo sana..
 
kamanda mbona iko edited...plz mshauri january nyota yake imefifi kama ya membe na sumaye atulie,hapo alipofika ni msaada tu wa baba yake kutumia ukatibu mkuu wa chama kujinufaisha na familia yake,hana sifa zozote za kuwaconvice watanzania kiutendaji hana creativity yoyote pia hatuwezi kuongozwa na mtu aliyepata div four form six the guy ni kilaza kabebwabebwa tu,afanye kazi tuzione ndio japo atakuwa recognazed kama akina mwakiembe au magufuli

Blaza mbona una stress sana?

Kama unamchukia January basi jiandae maana utastresika sana. Ndio kwanza kunakucha.
 
Nyakati hizi Urais unaonekana ni kazi rahisi sana...Ktk nchi ambayo inamatatizo ya kimfumo, umasikini umekithiri, Rasilimali zinanyemelewa na mataifa makubwa, changamato kibao za kukabiliana nazo kamwe huwezi kumkuta mtu mwenye mapenzi mema kwa nchi yake akitamani Urais...Unless kuna watu watakuwa wamemtuma na TOR ameshaisoma kaipima na kuielewa... Mabilioni ya Uswis may be....
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ndugu wana jf na wa Tanzania kwa ujumla ,leo katika sikukuu hizi za Noel na Mwaka mpya na taka niwapashe yaliyo jili katika jijij la Mwanza .Jana nili bahatika kukutana na January Makamba katika hotel ya Victoria Palace,alitukusanya tulikuwa Wachungaji na Wainjilisti 152 kutoka kakitika madhebu mbalimbali ya kikristo katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Mara,na Kagera.

we si unadai ulihudhuria kikao chake? So hayo maswali kwanini usimuulize pale pale na badala yake unaleta huku, huoni kama huu ni usengenyaji?

Wewe unajiita mtumishi wa Mungu halafu unafanya kinyume na matakwa ya imani yako kwa kusengenya watu. Tena huenda we ndo ulikua mstari wa mbele kumpigia makofi kila anapoongea. Acha unafiki na usengenyaji ndugu yangu, fanya kazi ya Mungu hizo siasa waachie wenyewe vinginevyo achana na kazi ya kuwalinda kondoo wa bwana then uvae joho la kisiasa!

Naamini kama kuna wachungaji wenzio au hata watu wenye imani kali humu ndani watakua wameshangazwa sana na hatua yako hii!
 
Blaza mbona una stress sana?

Kama unamchukia January basi jiandae maana utastresika sana. Ndio kwanza kunakucha.


nimelipenda sana hilo neno *KUSTRESIKA* naomba nilichukue kwa ajili ya matumizi ya hawa NGURUMBIZI.
 
Ikulu sasa ni pango la wanyanganyi.Bodaboda sasa mtaji,vijana jitambueni.
 
Mtoa mada,,,haya unayoyauliza hapa ulikosa wasaa wa kumuuliza????ulijua unahongwa ukapokea????Januari ana ukurasa wake wa fb,tweeter,nenda kamuulize,,,,nyie viongoz wa kidini ni wanafki tu,unataka tujue kuwa ulikua na Januari???mxiuuuuuuuu

Huyu mtumishi amekubali kuhongwa, kula posho ambayo yeye anaona hatoweza kuifanya kazi alotakiwa kuifanya , maadili ya kazi yake yanasemaje kwani ? alipaswa kuacha ile 50,000/=alafu pale pale angesimama na kusema hakubaliani na kile kitendo huo ndio uzalendo, sio hela amekula, hoteli amelipiwa na mambo mengine ambayo ameyafanya kwa gharama za january alafu anataka aonekane hapa eti mjasiri.
 
Nyakati hizi Urais unaonekana ni kazi rahisi sana...Ktk nchi ambayo inamatatizo ya kimfumo, umasikini umekithiri, Rasilimali zinanyemelewa na mataifa makubwa, changamato kibao za kukabiliana nazo kamwe huwezi kumkuta mtu mwenye mapenzi mema kwa nchi yake akitamani Urais...Unless kuna watu watakuwa wamemtuma na TOR ameshaisoma kaipima na kuielewa... Mabilioni ya Uswis may be....
Yani Magelegano wanampumbaza mtu kuwa anaweza kuwa Rais wa Watz,ili wamtumie,asante JF kwa kumwambia ukweli huyu dogo na bado watafunguka wajitambue ila kwa sasa acha wanedelee kusaidia kufungua macho ya watanzania.Sometimes mambo kama haya yakitokea kwenye Taifa yanasaidia kufungua ulimwengu wa fikra na kupanua pia uelewa wa umma kutambua mchele, chuya na pumba.Japokuwa si mchakato mzuri pale mtu wa ndani ya Taifa anapokuwa na ajenda na watu wa mataifa ya nje.
 
Uendawazimu tu huu, historia ya elimu yake ni BURE kabisa, na amefanya nini kwa watz.? Ni Rostam anamdanganya jamani huyu na alivyo mweupe kichwani anakwenda tu! kweli nitaishangaaa sana CCM!
 
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa

Kwani kuna Siri gani katika hayo yaliyo ulizwa?Inashangaza kama si kuduwaza,kama hujui mpaka leo kuwa tupo hapa Jf kujuzana na kuelimishana yanayo jiri pande zote za dunia hii bila kujali kuwa utapokea kwa mrengo CHANYA au HASI!Mambo hayo ya kukwepa uwazi na kukumbati Siri,ndiyo yaliyo ifikisha nchi mahala hapa!Badilika ndugu!
 
Huyu mtumishi amekubali kuhongwa, kula posho ambayo yeye anaona hatoweza kuifanya kazi alotakiwa kuifanya , maadili ya kazi yake yanasemaje kwani ? alipaswa kuacha ile 50,000/=alafu pale pale angesimama na kusema hakubaliani na kile kitendo huo ndio uzalendo, sio hela amekula, hoteli amelipiwa na mambo mengine ambayo ameyafanya kwa gharama za january alafu anataka aonekane hapa eti mjasiri.
Wajinga ndiyo waliwao,usijifanye hukufundishwa methali za wahenga wetu katika ujumla wa Elimu yako!
 
ungemuuliza hapohapo..kwan hakutoa nafas ya maswal..umeshakula posho ndo unatia fitna..ila asante kutujuza!!
 
Haya Haya Waliobisha Woooooooooooooooooote

<u><strong><span style="color:#ff0000;">
 
Last edited by a moderator:
Haya Haya Waliobisha Woooooooooooooooooote


Ukitazama video utaona hakuna ukweli katika mambo mengi ambayo mtoa mada alidai kusemwa:

1) "January alikuwa amevalia suti yake nyeusi na shati nyeupe ikiambatana na tai nyekundu,"

- HAKUVAA TAI NYEKUNDU

2) "
nilikusikiliza ukisoma kitabu cha Yeremia moja na kwamba kwa maneno yaliyomo katika kitabu hicho yanakushawishi kutangaza nia ya kugombea uraisi mwaka 2015"

- HAKUNA SEHEMU KWENYE MKANDA AMBAPO JANUARY AMETANGAZA NIA YA URAIS

3) "
Ulitupatia posho ya shillingi elfu hamsini kwa kila mmoja wetu,ulitupatia chakula na vinywaji ,ulitukodishia hoteli, ulitukudishia gari".

- JANUARY ALIITIKIA UKARIBISHO, HAKUWA MUANDAAJI WA SHUGHULI


 
tazama video, mambo mengi sana aliyoongea ni ushawishi wa kisiasa wa kijanja janja
 
Back
Top Bottom