CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Kumbe CHAMVIGA ni wa bumbuli ha ha ha naona povu lina kutoka kumtetea mghosi wa kaya......komaaa hivyo hivyo 2015 makamba akiwa rais utapata u DC......Ila nakubaliana na wewe kitu kimoja tu kwa jinsi januari anavyo ipigania bumbuli tofauti sana na shelukindo siku atleast ukiwa bumbuli utajihisi uko duniani maendeleo yana anza kuonekana kwa effort za makamba junior...hayo mengine ya kuhonga wachungaji mtajuana wenyewe...
Mimi nimkazi halisi wa wilaya ya Lushoto jimbo la Bumbuli. Simtetei Jmakamba kiushabiki ila jamaa ni hazina ya taifa hili. Bumbuli ni mahala panapotia moyo kwasasa. Ukizunguka jimbo zima la Bumbuli unaona jamaa anavyojituma pamoja na kwamba anamajukumu ya kiuwaziri.
Last edited by a moderator: