kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,490
- 1,362
Pole Sana Frank, niliwahi kulipa ada na mimi yakanikuta zaid..afadhali wako katiwa mimba, mimi wangu aliolewa kabisaa.. Ni changamoto tu za maisha, ila @KUSOMESHA NO..
Yaani wanaume hata kama tunapenda vipi..tusomeshe ndugu zetu jamani na wake zetu, sio mademu..USISOMESHEEEEEE...WANAWAKE HAWANA SHUKRANI..yaani ukianza kusomesha tu anakudharau..pesa zako za matumizi anapiga zege na ---- mwengine..
Salute kwa wanawake..mimi hata hela ya daftari silipi, sio kusomesha tu..Nishajifunza siku nyingi!!
Hii mada imenikomboa saana...