Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Haya mambo ni bahati nasibu, kuna jamaa alimsomesha demu wake chuo cha ualimu baadaye wakaoana sasa wana miaka kama nane ya ndoa yao.
 
Naomba tu niseme kwamba kama nimeoa mwanamke means nimeridhika na kila kitu kutoka kwake, SISOMESHI HATA MKE ACHILIA MBALI MCHUMBA AU DEMU... mwanamke kama asingekuwa ameridhika na elimu yake asingekubali kuolewa... angeniambia tu kuwa bado anahitaji kusoma, MIMI NINGEMSUBIRIA KAMA MUNGU NDO KANIPANGIA.. Na ikilazimika kusoma wakati nimeshamuoa chakufanya NI KUMRUDISHA KWAO AKASOMESHWE NA BABA YAKE/MAMA YAKE/NDUGU ZAKE... akimaliza ndo arudi kwangu kuendelea na maisha ya ndoa... KAMA HATAKI AISHIE MAPEMAAAAAAAAAAAAA......
SIOI MWANAMKE ILI NIWE BABA YAKE... NAOA ILI NIWE MUME WAKE...

aseeee, hakyanani wewe sikuwezi
 
Kwa vile mwanamke anatongozwa na ni haki yake kutongozwa sishangai hili.
 
Ukimsomesha binti msomeshe kwa minajiri ya kumsaidia tu na sio kigezo au factor ya kuwin mapenzi yake kwako!

Akikupenda na kuamua kuwa na wewe basi iwe ni hiari yake na sio kwa sababu umemsomesha.
 
Ukimsomesha binti msomeshe kwa minajiri ya kumsaidia tu na sio kigezo au factor ya kuwin mapenzi yake kwako!

Akikupenda na kuamua kuwa na wewe basi iwe ni hiari yake na sio kwa sababu umemsomesha.

Kabisa
 
Dunia ya leo unasomesha mwanamke eti mchumba wako upotea bora ungesomesha ndugu zako wangekusaidia baadae
 
Back
Top Bottom