Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,660
kama anampenda wanaweza wakaendelea ,na wakamlea huyo mtoto
Uko serious mkuu au??
kama anampenda wanaweza wakaendelea ,na wakamlea huyo mtoto
hana mawazo hayo....
ha ha ha,hata mi nilijidai kusomesha teaching.
kudadeki kumbe hostel wanachanganywa na wanaume.
demu akawa anaishi na mjamaa na kushare kitanda kama mkewe.
anamaliza chuo karudi hajapata kazi ndo ananikumbuka.
kukaa nae miezi kadhaa ndo apate kazi,rafiki yake waliekua nae chuoni akaja na kukaa kwangu wakati akitafuta kazi,ndo kupitia kwake nikazinyaka habari za huyo demu kule chuoni.
nikapiga chini
Naomba tu niseme kwamba kama nimeoa mwanamke means nimeridhika na kila kitu kutoka kwake, SISOMESHI HATA MKE ACHILIA MBALI MCHUMBA AU DEMU... mwanamke kama asingekuwa ameridhika na elimu yake asingekubali kuolewa... angeniambia tu kuwa bado anahitaji kusoma, MIMI NINGEMSUBIRIA KAMA MUNGU NDO KANIPANGIA.. Na ikilazimika kusoma wakati nimeshamuoa chakufanya NI KUMRUDISHA KWAO AKASOMESHWE NA BABA YAKE/MAMA YAKE/NDUGU ZAKE... akimaliza ndo arudi kwangu kuendelea na maisha ya ndoa... KAMA HATAKI AISHIE MAPEMAAAAAAAAAAAAA......
SIOI MWANAMKE ILI NIWE BABA YAKE... NAOA ILI NIWE MUME WAKE...
Sawa Tanzania ndo wapi? mkuu
kabisa sijui kama atakuja amuamini msichana tena
hapana aisee atanifrank.Jaribu bahati yako mkuu
Nilisomesha mwanamke tangu kidato cha 5 mpaka chuo kikuu sijutii na ndo mke wangu na amekuwa msaada mkubwa sana amebadilisha maisha yangu.
Tusomeshe bana.......tena kama mimi nataka kusoma modelling na beauty.....si unifadhili........
kusomesha mtoto wa mwanaume mwenzio ni upuuzi tyu.....ila kila kitu kina tokea ili tujifunze kupitia tatizo....sku jua ata na hawa JWTZ huwa nao wana oshewa...!!