innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 750
Pole yako Frank wazazi ndio wenye majukumu ya kumsomesha ww Frank kazi yako kubwa ilikua ni kugegeda tu!!!
Duuuuuuu
Pole yako Frank wazazi ndio wenye majukumu ya kumsomesha ww Frank kazi yako kubwa ilikua ni kugegeda tu!!!
Safi sana...
Misukule kama kina Frank ijifunze hapa...
Unaanzaje kumsomesha mtoto wa mwanaume mwenzio?
Kwani yeye yatima?
Dah pole Frank. Hapo kachepuka halafu kanogewa hata zana kasahau. Ni changamoto jikaze tu boss wangu, japo inauma. Kama unampenda na ye bado anakupenda pima weka ndani. But hakuna mwanamke utamkuta bikira katika ulimwengu huu. Ni nadra sana. Take it easy mani!
Usije ukalogwa ukawa pimbi km frank...
Alafu namshukuru Mungu haijatokea kwangu tuu
thy could have taken me to segerea by now
Hivi thaman ya kumvua mkuu si kubwa...kuliko hata pesa tunazowapa.
Kumbe ningeingia mkenge!!,nimeghairi nami sisomeshi tena.
Bora hyo hela niitupe kuliko kuenda kumsomesha mschana
Maliza kwanza ukishazalisha hata watoto wawili mlipie Ada akasome.
Unahtaj maombi mchungaj ILLOVO yuko jaman
Pole kwa Frank,ndio changamoto hizo
Frank mkono mmoja wapili....tunang'arisha.
100,000,000,000,like Received....yaani hakuna kosa kubwa kwenye mahusiano kama kumsomesha mpenz...we we we lazima ujute wanawake waacha kama walivyo mimi nawaheshim hapo kweny kubadili maamuz ni dk 1 atakacho fanya huto amini....FRANK wakowengi we acha tu