Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Bebi kumbe umesahau maandiko yanasemaje........ Samehe Mara saba sabini Mimi hii ndio ya kwanza bado sitini na tisa na saba nzima

Beiib ina maana hata kuniogopa hakuna umempa kama ilivyo...
 
cha msingi hapo mwombe akurudishie japo ada zako.. la sivyo kama una roho ya ubinadamu achana naye. ila mimi PIGA UA GARAGAZA CHINJA FUKIA FUKUA.... ningekula naye single plate mpaka kieleweke..maana hawa dada zetu siku hizi tunawachekea sana ndio maana wanarithishana tabia mbovu mbovu
 
Back
Top Bottom