Hongera Frank. Umemueleimishwa mwanamke, umeelimisha jamii nzima.
At least tunapata kujifunza kupitia mifano hai,pole sana Frank komaa na kozi askari wangu!
Pole yako Frank wazazi ndio wenye majukumu ya kumsomesha ww Frank kazi yako kubwa ilikua ni kugegeda tu!!!
Kweli kabisa Inno mimi nina ndugu wengi ambao wanahitaji msaada wangu wa masomo na uwezo wa kuwasaida sina. Nashangaa mtu anamsomesha mwanamke baki ambaye hawana undugu wowote wa kinasaba wala kimkataba (i.e. Mke na mme).Kwel we tata
Kweli kabisa Inno mimi nina ndugu wengi ambao wanahitaji msaada wangu wa masomo na uwezo wa kuwasaida sina. Nashangaa mtu anamsomesha mwanamke baki ambaye hawana undugu wowote wa kinasaba wala kimkataba (i.e. Mke na mme).
Wewe una bahati sana molembe monaweitoNilisomesha mwanamke tangu kidato cha 5 mpaka chuo kikuu sijutii na ndo mke wangu na amekuwa msaada mkubwa sana amebadilisha maisha yangu.