Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Wanawake, wanaume wote wana matatizo ktk kufikiri, kuna jamaa alioa baada ya harusi wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume, jamaa akamtafutia mkewe kazi nzuri zaidi kuliko aliyokuwa anifanya mwazo mama baada ya muda kaanza kubadilika, kiburi, dharau, jeuri tele kwa mumewe jamaa anavumilia tu, mara mke anarudi late sana ugomvi ukaanza kila mara malumbano, kumbe mke kapata jamaa mwingine huko ofisini, mwanamke kaona haitoshi kaondoka kaenda kupanga nyumba kaondoka na mtoto kumbe ilikua gia tu jamaa ucku wanalala wote, mwisho ndoa imevunjika jamaa kamchukua mwananmke wanaishi wote, mwaka wa 5 huu jamaa anatupia tu picha za mtoto wa mwenzie FB bila haya wala huruma na mtoto akimita anko anagombezwa analazimisha aitwe baba, na mtoto anamjua babake inamuwia ngumu kuona baba mwingine, hii ni mbaya sana jinsia zote tuheshimu ndoa na kujali watoto. Wanawake TAMAA mbaya.
 
Wanawake, wanaume wote wana matatizo ktk kufikiri, kuna jamaa alioa baada ya harusi wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume, jamaa akamtafutia mkewe kazi nzuri zaidi kuliko aliyokuwa anifanya mwazo mama baada ya muda kaanza kubadilika, kiburi, dharau, jeuri tele kwa mumewe jamaa anavumilia tu, mara mke anarudi late sana ugomvi ukaanza kila mara malumbano, kumbe mke kapata jamaa mwingine huko ofisini, mwanamke kaona haitoshi kaondoka kaenda kupanga nyumba kaondoka na mtoto kumbe ilikua gia tu jamaa ucku wanalala wote, mwisho ndoa imevunjika jamaa kamchukua mwananmke wanaishi wote, mwaka wa 5 huu jamaa anatupia tu picha za mtoto wa mwenzie FB bila haya wala huruma na mtoto akimita anko anagombezwa analazimisha aitwe baba, na mtoto anamjua babake inamuwia ngumu kuona baba mwingine, hii ni mbaya sana jinsia zote tuheshimu ndoa na kujali watoto. Wanawake TAMAA mbaya.

Nini kifanyike..
 
Tuheshimu hisia za wenza wetu, tuwe na hofu ya Mungu, tukijaliwa watoto tuwalee kwa upendo tuache tamaa za miili yetu.

Ila wanawake sio wote lakin kuna wengine nusu watu nusu majini hata uumpe kila kitu...haridhiki
 
Mwanaume anayetaka kumsomesha mwenzi wake waoane kwanza ndio ampeleke shule. Huko vyuoni kuna changamoto jamani...
 
bila wewe jforum ningejuaje sasa mimi kama kusomesha mototo wa mwanaume mwenzio ni dhambi
 
Jamani Frank pole.....
Hiyo hela ungenunua hata shamba huko Songea but mapenzi ni upofu:wink2::wink2::wink2:
 
Ni kweli mkuu,jua kali sana Tz ukiongezea na ugumu wa maisha tunapata chembechembe flan za vichaa
mkuu sishangai mtu vichaaa kama huyo jamaa sijui atampigia kura nani maaaanaa??????????
 
Afadhali usomeshe Mke sio Mchumba au Mpenzi tena na huyo Mke umsomeshe akiwa amekuzalia angalau mtoto Mmoja.....
 
Back
Top Bottom