Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
kama anampenda wanaweza wakaendelea ,na wakamlea huyo mtoto
Hakyanani wewe ndo zuzuta la mwaka
kama anampenda wanaweza wakaendelea ,na wakamlea huyo mtoto
kusomesha mtoto wa mwanaume mwenzio ni upuuzi tyu.....ila kila kitu kina tokea ili tujifunze kupitia tatizo....sku jua ata na hawa JWTZ huwa nao wana oshewa...!!
Hakyanani wewe ndo zuzuta la mwaka
Hahahahahahaha katoka ucngizini huyo
Pole Sana Frank, niliwahi kulipa ada na mimi yakanikuta zaid..afadhali wako katiwa mimba, mimi wangu aliolewa kabisaa.. Ni changamoto tu za maisha, ila @KUSOMESHA NO..
Yaani wanaume hata kama tunapenda vipi..tusomeshe ndugu zetu jamani na wake zetu, sio mademu..USISOMESHEEEEEE...WANAWAKE HAWANA SHUKRANI..yaani ukianza kusomesha tu anakudharau..pesa zako za matumizi anapiga zege na ---- mwengine..
Salute kwa wanawake..mimi hata hela ya daftari silipi, sio kusomesha tu..Nishajifunza siku nyingi!!
Yaan kwa ufupi ukitaka uchukie mapenz na ujitafutie njia nyepesi yakwenda segerea somesha mwanamke...hakyanan lazima utalia tu...ni nani ajitokeze hapa akiri kuwa alimsomesha mwanamke na hajaumizwa??hakuna na haitakaa itokee....kumtoa mtu matongotongo ili aone vyema lazima akutukane tu...lazima tujifunze,huruma uwe na mipaka na siyo haki hata kidgo kuchukua majuku ya wazazi wake...
Hakyanani wewe ndo zuzuta la mwaka
Ipo humu mijanajike ambayo imeshawahi au inayotarajia kuwatenda boy friends zao kama huyo kenge alivyomtenda frank !Ione mimachoyao kwanza inavyoukodolea huu uzi!Me nitaiwest gate kabisa ni bora tukose wote shenz!!
mkuu hivi upo Kasulu