Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Mizuka wapi? Hao ni Blue Guard. Nenda mikutano ya CUF utawakuta.

images

Mikutano ya kaf mi siwezihudhuria maana mimi sio mpenzi wa taarabu jamaa walipokuwa wanafanya kampeini zao hapa Arusha kwenye kinyanganyiro cha udiwani waliniboa sana magari ya matangazo yanapita barabara badala wanadi sera wawo wanabaki kukikashifu chadema kwani wanalipwa na sisiemu kufanya hivyo? na walikuwa wanaongea mambo yasio na msingi yaani wao baada ya kuona chadema inakubaliaka wameamua kuwa wapinzani wa wapinzani,
sasa kwa hali kama hiyo tutaweza kweli kulingoa joka sisiemu maana cfu ni wapinzani wa chadema nccr ni wapinzani wa chadema yaani kuliko chadema ichukue eneo kwao ni bora ccm indelee kuwa madarakani siasa chafu na uongozi duni.

Ndio maana nilifikiri hao jamaa wamefufuka katika wafu kumbe ni jeshi la chama tendwa anataarifa??
 
baada ya kuona picha hizi aliyesema ataifuta cdm atakuwa yuko kwenye mchakato wa kuifuta ccm teh teh chezea akili kubwa wewe
 
Mikutano ya kaf mi siwezihudhuria maana mimi sio mpenzi wa taarabu jamaa walipokuwa wanafanya kampeini zao hapa Arusha kwenye kinyanganyiro cha udiwani waliniboa sana magari ya matangazo yanapita barabara badala wanadi sera wawo wanabaki kukikashifu chadema kwani wanalipwa na sisiemu kufanya hivyo? na walikuwa wanaongea mambo yasio na msingi yaani wao baada ya kuona chadema inakubaliaka wameamua kuwa wapinzani wa wapinzani,
sasa kwa hali kama hiyo tutaweza kweli kulingoa joka sisiemu maana cfu ni wapinzani wa chadema nccr ni wapinzani wa chadema yaani kuliko chadema ichukue eneo kwao ni bora ccm indelee kuwa madarakani siasa chafu na uongozi duni.

Ndio maana nilifikiri hao jamaa wamefufuka katika wafu kumbe ni jeshi la chama tendwa anataarifa??

Blue Guards walikuwepo?
 
Last edited by a moderator:
Eeee Mungu! Kwa nini umeamua kuweka mwanga kwenye giza la hiki chama cha kijani angali bado ni mchana huku hata wino wa mate ya msajili wa vyama vya siasa hauja kauka kwenye matamshi yake?! Kwa nini umewaambua mapema sana watu hawa na vyombo vya usalama ambavyo siku zote vimekuwa na kazi ya kuwanyanyasa viongozi na makada wa chadema?!

Mwenyezi Mungu, naamini huu mpango wako wa kuanika madhambi yao angali bado mchana kweupe, naamiini hutaendelea kutuacha wana nchi yako Tanzania tungali tuna taabika kwa mateso na vilio vya kupoteza ndugu zetu kwenye mikono ya watu hawa.

Eee Mungu zidi kuonyesha na kudhihirisha kuwa wewe pekee ndiye tunaye paswa kukuabudu na hofu kubwa inapaswa kuwa juu yako.

Asante kwa kuniongoza kuwa chadema, najivunia kuwa kwenye chama hiki ambacho naami huenda kikawa ni mpango wako kutuonyesha njia ya kheri dhidi ya batili.
 
Eeee Mungu! Kwa nini umeamua kuweka mwanga kwenye giza la hiki chama cha kijani angali bado ni mchana huku hata wino wa mate ya msajili wa vyama vya siasa hauja kauka kwenye matamshi yake?! Kwa nini umewaambua mapema sana watu hawa na vyombo vya usalama ambavyo siku zote vimekuwa na kazi ya kuwanyanyasa viongozi na makada wa chadema?!

Mwenyezi Mungu, naamini huu mpango wako wa kuanika madhambi yao angali bado mchana kweupe, naamiini hutaendelea kutuacha wana nchi yako Tanzania tungali tuna taabika kwa mateso na vilio vya kupoteza ndugu zetu kwenye mikono ya watu hawa.

Eee Mungu zidi kuonyesha na kudhihirisha kuwa wewe pekee ndiye tunaye paswa kukuabudu na hofu kubwa inapaswa kuwa juu yako.

Asante kwa kuniongoza kuwa chadema, najivunia kuwa kwenye chama hiki ambacho naami huenda kikawa ni mpango wako kutuonyesha njia ya kheri dhidi ya batili.

Mkuu umenena,dua yako itapokelewa na kufanyiwa kazi.
 
ccm na dola lao moja ni kuleta ugaidi katika nchii hii,na bado Mwenyezi MUNGU atawaumbua mchana, mchana kweupe


copy to TENDWA JOHN
DAVIS MWAMNYANGE
SAID MWEMA
MKUU WA USALAMA WA TAIFA IDRISA RASHID
DCI ROBERT MANUMBA

COPY to team LUMUMBA
 
Eeee Mungu! Kwa nini umeamua kuweka mwanga kwenye giza la hiki chama cha kijani angali bado ni mchana huku hata wino wa mate ya msajili wa vyama vya siasa hauja kauka kwenye matamshi yake?! Kwa nini umewaambua mapema sana watu hawa na vyombo vya usalama ambavyo siku zote vimekuwa na kazi ya kuwanyanyasa viongozi na makada wa chadema?!

Mwenyezi Mungu, naamini huu mpango wako wa kuanika madhambi yao angali bado mchana kweupe, naamiini hutaendelea kutuacha wana nchi yako Tanzania tungali tuna taabika kwa mateso na vilio vya kupoteza ndugu zetu kwenye mikono ya watu hawa.

Eee Mungu zidi kuonyesha na kudhihirisha kuwa wewe pekee ndiye tunaye paswa kukuabudu na hofu kubwa inapaswa kuwa juu yako.

Asante kwa kuniongoza kuwa chadema, najivunia kuwa kwenye chama hiki ambacho naami huenda kikawa ni mpango wako kutuonyesha njia ya kheri dhidi ya batili.
Hii dua haiwezi kupita bila mimi kusema AMINAAA!
 
Nape anapigiwa saluti?kuna vyombo vingapi vya usalama?
 
Hawa ccm washukuru nchi hii ina rasilimali ambazo USA na CHINA wanatumia kutudanganya eti kuna amani ILA yule mkubwa wa ICC angekuwa OCAMPO jk same same BOSCO NTANGANDA yule wa M23
 
Mkuu at least cheti hiki hapa kinachochea mjadala, haswa hicho kipengele viii

Mie nimependa zaidi vipengele vya (i) Muundo wa Green Guard na (x) Mahusiano ya Green Guard na vyombo vya Dola.

Kipengele cha (i) kinaonyesha kuwa Green Guard iko very cemented kiasi kwamba mpaka kina mpaka muundo wake ambao hao guards inabidi wafundshwe na waufuate.

Kipengele cha (x) kinaonyesha Green Guards siyo kikundi cha hivi hivi tuu, maana guards wake wanafundishwa mpaka jinsi ya kuwa na mahusiano na vyombo vya dola.

Ila hapo palipoandikwa "Tabia yake ni nzuri sana" bado zijapaelewa vizuri.
 
Green Guard na Red Brigade wako kazini huko Kalenga.

Inadaiwa Green Guards "walimteka" kiongozi wa kiroho na kumfungia kwenye ofisi ya mwenyekiti wa kijiji.

Baada ya habari habari kuvuja Red Brigade wakavania ofisi hiyo na kuvunja mlango na hatimaye kufanikiwa kumtoa.
 
Huu utaratibu umekuwa ukitumiwa na CCM kama mtego wa kuzinasa akili za Watanzania tokea wakiwa wadogo waamini CCM ni chama cha Ukombozi wa Mtanzania(Mtanganyika)...

Sasa ukiwa mtoto na "ukanywa maji ya bendera", hakuna lugha utayoelewa ukiletewa "mahubiri" ya vymama vingine na mtizamo tofauti na ule wa "zidumu fikra za Mwenyekiti"...

Kweli kabsa ccm wamekuwa wakijiwekezea kura za baadae kwa kuwaingiza mpaka watoto wadogo kwenye green guard
 
Green Guard na Red Brigade wako kazini huko Kalenga.

Inadaiwa Green Guards "walimteka" kiongozi wa kiroho na kumfungia kwenye ofisi ya mwenyekiti wa kijiji.

Baada ya habari habari kuvuja Red Brigade wakavania ofisi hiyo na kuvunja mlango na hatimaye kufanikiwa kumtoa.
Brother,kunakofuka moshi......
 
Back
Top Bottom