Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()
It is illogic kusema kuwa vyama vya siasa vinapigana na wananchi, but it is logic to say that Polisi wanapigana na wanachama wa vya siasa ambao ndio wananchi! Fumbua macho zaidi!Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?
Poor US!!!
Sio kila chama tu sasa. Hata kila dini!!!! Mbegu hii inayopandwa na serikali iliyoko madarakani itagharimu sana watoto na wajukuu wetu! Mwisho wa vyama ingekuwa katika ushindani wa sera na sio kujilinda! Mwisho wa itikadi na mikakati ya kidini ingekuwa katika nyumba zao za ibada na sio kujilinda. Vikundi vyote hivi ni lazima vifutwe mara moja bila kujali ni cha CCM ama cha dini yetu. Hili lisiposimamiwa naweza kusema Ole wa vizazi vijavyo!!Kila chama!!! That Means kila chama kina GUARD wake!! Kila chama kina M GUARD!! Nani against nani? Inaonekana kama ugonjwa wa kansa umetafuna mwili mzima eh?!!! Dawa yake ... aje mkoloni Achukue nchi nini???!!
Tumejishindwa, Hatujiwezi, tunaji guard wenywe against what?
Unamaanisha chipukizi kama hawa?
![]()
Nakumbuka nikiwa mtoto mdogo, nilishawahi kuwa mfuasi wa CCM chini ya Jeshi la watoto wadogo enzi hizo tukiitwa CHIPUKIZI...na aina ya mavazi tuliyokuwa tukivaa ni sawa kabisa na hayo ya Green Guards.
Sina uhakika kama hao watoto ninaowaona katika taswira hizo ni wale CHIPUKIZI kama tulivyokuwa au ndio hawa Green Guards!!
Kila chama!!! That Means kila chama kina GUARD wake!! Kila chama kina M GUARD!! Nani against nani? Inaonekana kama ugonjwa wa kansa umetafuna mwili mzima eh?!!! Dawa yake ... aje mkoloni Achukue nchi nini???!!
Tumejishindwa, Hatujiwezi, tunaji guard wenywe against what?
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.
Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...
Unamaanisha chipukizi kama hawa?
![]()
Hii watakanusha na kusema ni waasi wa Congo
How come then kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ya chama anavaa logo ambayo siyo ya chama?
mkuu mbona kawaida mfano zile kofia za NY hata JK akiamua kuvaa atavaa tu
Vipi Green Guard, Blue Guard na Red Brigade wako leo wako kazini A town?
Natafuta picha zao wakiwa kazini A town leo niongezee hapa.
Salaaaaaaleeeeeeee, hivi magamba wanatofauti gani na Laurent Nkunda, Ernest Koroma, Child Soldiers? ama kweli nyani haoni............