Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Si ndo nashangaa pamoja na kuwepo kwa muda wote huo serikali haijawahi kuchukua hatua.

attachment.php

duu! Hii ni zaid ya jkt.
 
hii inakumbusha 2002 blugard ya cuf ilipoanzisha mafunzo ya judo nchi nzima serikali ikayapiga marufuku na yalishika kasi kweli.
 
ama kweli viongozi wa magamba hawajitambui, kuna sababu ya kuzuia cdm kuwa na red bregade kama wao wanakikosi cha kuwalinda au wao sio chama cha siasa?
 
Nembo za UVCCM.

attachment.php


attachment.php

attachment.php
NI vema kulinda haki za watoto. Endapo kuna ushahidi wa kutosha kuhusu watoto hawa, kwa nini wahusika wasifikishwe mbele ya vyombo vya sheria,,,,,hata kama haviaminiki. Hii si kuweka historia tu, bali kuhakikisha haki za mtoto zinalindwa, Ningeelewa kama hawa watoto badala ya kushika bunduki halisi wangeshika mfano wa bunduki magome ya kuchonga. Labda inawezekana ni mfano wa bunduki wala si SMG..DUh Hii inavuka mipaka....more than we can swallow
 

Kama jina linasumbua, ccm pandisheni hadhi ya jina muitwe Green Brigade. Ama Chadema mpunguze kishindo cha jina muitwe Red Guards kusudi muwe sawa na CCM. Hapo hapana shida nadhani.
 
Kwa hiyo hili Ndio li boko haramu la ccm? Lile lingine mugulu sijui ndo li mular Nasikia na lile jangili la tembo Ndio li Osama


NI vema kulinda haki za watoto. Endapo kuna ushahidi wa kutosha kuhusu watoto hawa, kwa nini wahusika wasifikishwe mbele ya vyombo vya sheria,,,,,hata kama haviaminiki. Hii si kuweka historia tu, bali kuhakikisha haki za mtoto zinalindwa, Ningeelewa kama hawa watoto badala ya kushika bunduki halisi wangeshika mfano wa bunduki magome ya kuchonga. Labda inawezekana ni mfano wa bunduki wala si SMG..DUh Hii inavuka mipaka....more than we can swallow
 
Tanzania ndo nchi yangu sina ndoto za kwenda nchi nyingine,Mungu awalaani wote wanaopigania maslai yao kwa kuvuruga nchi hii
""""VV""
 

Katika hali kama hii, binafsi naona kama matamko na marufuku zinazotolewa zimechlewa sana, watu tayari walishalishwa pikwa na kuivaa. Ametibua tu yule aliyetanguza kuwa Chama chake kinataka kuimarisha kikundi chake kuliko ilivyo sasa. Ina maana wahusika walikuwa havioni vikundi hivi mpaka mmoja wao aliporopoka kuwa anataka kuimarisha zaidi ya hapo alipo ?
 
Hapo kwenye red hata mtoto akienda shule wanasiasa wanawafuata huko huko shuleni.

Kama kwenye hiyo picha hapo chini watoto wa shule ya msingi wakiwa kwenye gwaride la kumpokea Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahaman Kinana, wilayani Gairo, tarehe 18 April 2013.

Hii picha ni kwa hisani ya CCM na wala hawaoni ajabu kuwaibukia watoto muda wa shule na kufanyiwa graride badala ya kusoma.

Pia piga mahesabu hawa watoto wamepoteza muda gani kupiga mazoezi ya hilo gwaride kabla ya kuja kuwapigia hao wanasiasa.

Kuna uwezekano hii siku hawakusoma kabisa wakiwasubiri hawa wanasiasa ili kuwapigia gwaride. Hapo mtoto aliaga nyumbani anaenda shule.



2.jpg
Hivi si katazo siasa mashuleni au ni vyuo vikuu tu?
 
Back
Top Bottom