Mungai Msele
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 105
- 28
Akitoka Wanapanda Maelfu kwa mamia,
Hata hivo aondoke yann kung,ng,ania Cdm?
Hata hivo aondoke yann kung,ng,ania Cdm?
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
Hauko pekeyako muko wengi lakini Zitto hamumuwezi.
Mimi na ufipa wapi na wapi? Wakifanya hivi hii forum itakuwa kijiwe na sio sehemu nyeti kama ilivyokuwa , kuna presha nyingi habari ya kweli ikiwa kwa hapa, moods do justice to this forum....Ulidhani mods walevi wa gongo kama viongozi wenu pale ufipa?
Tena mods mpeni na ban mlevi huyu hatutaki habari zakupikwa pale ufipa kutuletea hapa,
Aende na bendera za CDM kwani haogopi kupigwa mawe kama katibu mkuu? Kwasasa vijana tunamkubali Zitto kuliko Chama na bendera zake.
Kutokana na mambo kumwendia ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.
My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake.
Leo naona umejaribu kufiiri mwenyewe badala ya kila siku kutuletea quotations za watu- Hongera!Zitto ni sawa osama sema tofauti yao ni kwamba, Osama ni Talbhan lakin Zitto ni Masalia.
Bado kidogo mtajinyonga mmoja baada ya mwingine. Zitto anazidi kuwapiga fimbo za mgongo mpaka mpate adabuKutokana na mambo kumwendia ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.
My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake.
Toka lini msambaa akawa na akili???!Kijana hujitambui na laiti ungelikuwa unajitambua usingefika huko uliko huu upuuzi ulioandika hapo juu kawaeleze pale ufipa sio kutuletea utumbo wako hapa sijui wewe ni msambaa gani usiyejitambua.
hayo mapokezi makubwa ni kwasababu gani? Hiyo ziara ipo kwenye ratiba za chama? Anapokelewa kama nani?
Ndio haya wengine tunapata shida kweli na huyo zitto.mashindano tu yasiyo na tija! Kwani zitto huwa haendi kigoma hadi leo apate mapokezi tofauti?
Yaani nini tija ya ziara ya zitto huko kigoma kwa chadema maana hata slaa hajipangii tu ziara za chama na zinatangazwa rasmi kwa taarifa kutoka kurugenzi ya habari.
Haya maana najua wengine mna mapenzi tuuuuu na huyu kijana.
Leo naona umejaribu kufiiri mwenyewe badala ya kila siku kutuletea quotations za watu- Hongera!