PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
1017221_635304536531621_1219813934_n.jpg
1511350_635304456531629_1156613423_n.jpg
1511284_635303789865029_302401546_n.jpg
1012792_635303879865020_2109801516_n.jpg
996985_635303939865014_623020908_n.jpg
1477968_635304149864993_150542700_n.jpg
1476125_635300756531999_17142309_n.jpg
1517527_635300853198656_907706415_n.jpg
1476353_635300916531983_1629442226_n.jpg
1476125_635300756531999_17142309_n.jpg
379709_635297983198943_1177054915_n.jpg
1521340_635298133198928_77370159_n.jpg
1475958_635298186532256_328583333_n.jpg
1526419_635297946532280_536845726_n.jpg
1501759_635296873199054_603343034_n.jpg
1528579_635269026535172_1142880841_n.jpg
1493147_635298913198850_219639048_n.jpg
1489037_635296829865725_2059314623_n.jpg

hali hii ni kawaida kabisa rakini inatakiwa zitto aitumie nafasi hii kujishusha mana akizidi kujifanya anapandisha mapembe hali yake kisiasa itakuwa mbaya zaidi au kupotea kabisa ktk siasa za tz, namshauri azingatie yafuatayo
1/ Asichanganyikiwe na kulewa sifa ya watu kumpokea kwa mabango, mana yeye ni mbunge na mtu maarufu na watu wa kigoma bado wako kwenye mhemuko wa tuhuma alizo nazo ndani ya CHADEMA
2/Sio wote wanaompokea ni wake, ni lazima zitto ajue kunawatu wameenda kumpima kama anastahili kusamehewa na chama au chama kimpige msumali wa moto kichwani, na wengine ni wana ccm ambao wanataka alewe sifa kuwa anakubalika na kupandisha mapembe zaidi then mwisho wamtose
3/Busara imtangulie mbele kuliko jeuri, ajaribu kuwa mtu wa kujishusha mana sio mbowe wala slaa wanao muangalia ktk mkutano wake wa leo bali ni watanzania wapenda maendeleo na uhuru wa kweli ambao wote kama sio wengi imani yao iko kwa CHADEMA Ko watu hawa hawako tayari kumshabikia yeye na kuacha taasisi ife
4/ Uchaguzi wa maneno na watu atakaoshirikiana nao katika mkutano huo,
KI MSINGI AJUE CHADEMA BADO IMEMUWEKA KWENYE MATAZAMIO NA NI MTUHUMIWA WA MAKOSA 11 KWA KATIBA YA CHADEMA
TAASISI KWANZA USHABIKI KWA MTU UWE KITU CHA MWISHO HIKI NDICHO WANAKIGOMA WANATAKIWA KUKIJUA
 
Hapa picha zinakuja live,Yule muuza gongo mpaka waedit picha ndio wanaweka kweli jamaa huyu hamumuwezi mfukuzeni tu uanachama hakuna kingine.
 
siku zote, wajenzi wa hoja hawaongei majina ya watu bali HOJA. Zitto si hoja bali atakachosema tunaweza kujadili. usiiache akili yako ifunikwe na kivuli cha USALITI, watoto na watoto wa watoto wako watakulilia kwa kuipa ccm nguvu. Look beyond your nose.
 
Mtorela!

Kwanza pole maana najua ulikuwa huamini kuwa swahiba wako angeweza kuchukuliwa hatua hasa kupitia maandiko yako kule mtaa wa pili.

Pili, acha kufanya propaganda za kijinga kupitia maandiko yako! Swahiba wako hajazuiwa kukutana na wapiga kura wake na wala hakuna siku baada ya yeye kuvuliwa nyadhifa zake chadema waliyotamka kuwa haruhusiwi kwenda jimboni kuongea na wapiga kura wake. kama una ushahidi wa yeye kuzuia kwenda kigoma uweke hapa. Acha kupotosha!

Yeye akiamua anaweza kufanya mikutano mpaka Lumumba akisubiria stahili yake inayomfaa kwa namna kamati kuu itakavyo amua.

Usema kuwa tuhuma 11 zilisemwa kwenye jimbo lake?! zilisemwa na nani na lini?! tumia usomi wako na exposure uliyoipata kwa kuongea kwa facts usiwe unazomoka tu kama mtu ambaye hajui mlango wa darasa. Hayo mashtaka unayosema yasemwa jimboni kwake niyapi?!

Pole sana, ungekuwa unampenda sana rafiki unge mshauri asi betray coarse. Sikio likesha kufa halisikii tena dawa.

Mtoi
nisome vizuri utanielewa tu,sijasema kuwa mashitaka 11 yamesemwa ktk jimbo lake,nilichokisema ni kwamba kama ilisemwa moja ya sababu ya kumvua uongozi wake ktk jimbo lake na ndio hivyo hivyo zitto atakapokwenda kuweka sawa hilo lililosemwa,ama hukusikia hotuba wakati moja wa kiongozi akiwa kigoma? ama hata kama uliskia hutaki kusema kwakuwa upo ndani na unaogopa kuchukuliwa hatua? kabla ya hii post umeyasema mengi kuhusu uvccm kuandaa mkutano ule na ukasahau kuwa hata wewe posho unayoipata toka ktk chama chako inatoka ktk serikali inayoongozwa na ccm,sasa iweje mkutano kuandaliwa na uvccm ni haramu,ila wewe kupokea pesa zinazotoka ktk serikali inayoongozwa na ccm si haramu?
 
Umeiona nguvu yake eeh, this is Zitto I know..

Zitto ana nguvu sana kisiasa... ni mjanja na anajua kujenga ushawishi. Sema kwa ubinafsi wake akaamua kuzitumia nguvu zake vibaya...
 
Chadema nitasisi lazima wawe makini sana kudili na muhuni kama zitto na shibuda dawa nimoja kwanini chadema Awachukui kadi zahawa masaliti.
 
Mtoi
nisome vizuri utanielewa tu,sijasema kuwa mashitaka 11 yamesemwa ktk jimbo lake,nilichokisema ni kwamba kama ilisemwa moja ya sababu ya kumvua uongozi wake ktk jimbo lake na ndio hivyo hivyo zitto atakapokwenda kuweka sawa hilo lililosemwa,ama hukusikia hotuba wakati moja wa kiongozi akiwa kigoma? ama hata kama uliskia hutaki kusema kwakuwa upo ndani na unaogopa kuchukuliwa hatua? kabla ya hii post umeyasema mengi kuhusu uvccm kuandaa mkutano ule na ukasahau kuwa hata wewe posho unayoipata toka ktk chama chako inatoka ktk serikali inayoongozwa na ccm,sasa iweje mkutano kuandaliwa na uvccm ni haramu,ila wewe kupokea pesa zinazotoka ktk serikali inayoongozwa na ccm si haramu?
Very well said.
 
Mama yangu, duuh Zitto kamfunika Slaa, naamini hakuna wa kumtingisha Zitto chadema, dkt slaa hakufikia hata nusu ya hao watu.

Nazaidi aliambulia kichapo na mabango yenye kuonyesha kua hawakua na shida nae. Kweli Zitto nizadi ya Serkali (achiliambali CDM)
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

So, padri Slaa alikodisha kikundi gani cha kumshangilia!
ZZK atajibu kutokana na propaganda zilizoenezwa na akina Slaa mkoani kwako na kwenye ngome zake Tbora, Shinyanga na Mwanza pia Singida
 
Chadema nitasisi lazima wawe makini sana kudili na muhuni kama zitto na shibuda dawa nimoja kwanini chadema Awachukui kadi zahawa masaliti.
Mkuu,
Kwa issue ya Zitto sio rahisi et kumvua uanachama kirahisi, wanatazama jinsi wakimvua na jahazi litakavyozama.
ZZK sio member wa lelemama ndani ya Chadema.
 
Hawaitaki bendera ya Chadema kwa walichomfanyia kijana wao, chezea wapiga kura weye...

HIVI ALISHINDA KWA % NGAPI VILE 2010? NA JE DR.SLAA % NGAPI VILE? naomba jibu bwana mizigo.
 
Kwa idadi hii tu, hata mie ningeweza kuwanunua kwa kuwapa lunch 1 kila mmoja
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.

Nani zaidi wapi? Malizia Kigoma basi!! Aje Dar au aende Mbeya kama atapokelewa hivo. Siasa za ukanda ndo hizo anazoendesha Zitto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom