PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Mtorela!

Kwanza pole maana najua ulikuwa huamini kuwa swahiba wako angeweza kuchukuliwa hatua hasa kupitia maandiko yako kule mtaa wa pili.

Pili, acha kufanya propaganda za kijinga kupitia maandiko yako! Swahiba wako hajazuiwa kukutana na wapiga kura wake na wala hakuna siku baada ya yeye kuvuliwa nyadhifa zake chadema waliyotamka kuwa haruhusiwi kwenda jimboni kuongea na wapiga kura wake. kama una ushahidi wa yeye kuzuia kwenda kigoma uweke hapa. Acha kupotosha!

Yeye akiamua anaweza kufanya mikutano mpaka Lumumba akisubiria stahili yake inayomfaa kwa namna kamati kuu itakavyo amua.

Usema kuwa tuhuma 11 zilisemwa kwenye jimbo lake?! zilisemwa na nani na lini?! tumia usomi wako na exposure uliyoipata kwa kuongea kwa facts usiwe unazomoka tu kama mtu ambaye hajui mlango wa darasa. Hayo mashtaka unayosema yasemwa jimboni kwake niyapi?!

Pole sana, ungekuwa unampenda sana rafiki unge mshauri asi betray coarse. Sikio likesha kufa halisikii tena dawa.

Wewe ni kibaraka wa wahafidhina, huna jipya. Tumika hapo af wenzako wanapiga ruzuku wananunulia majumba dubai na wengine wanaenda na hawara zao ulaya kuvinjari
 
mimi siwaelewi hawa wanaoshabikia kuwa CHADEMA inabomoka inabomolewa na kitu gani, Zitto sio bora kuliko CHEDEMA, na CHADEMA itaendelea bila ya Zitto kama ilivyokuwa hapo mwanzo kabla hata Zitto hajafikiliwa kuwepo CHADEMA
 
Zitto ni kidume cha mbegu. Machadema yanaweweseka kila yakisikia jina lake
 
cha ajabu hata historia ya muda mfupi mnaisahau sijui kwanin kuna watu walichinjiwa ng'ombe kwa upuzii kama huo leo wako wapi zitto ni mwongo zito ni msaliti zito ni mzigo
 
Kutokana na mambo kumwendea ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.

My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake. Sijui kama huyu jamaa anapata usingizi sawasawa, anahitaji check-up.

996985_635303939865014_623020908_n.jpg
attachment.php

Mbona hamna bendera za CDM?
 
Ben niliwahi kukwambia siku moja kwamba una chuki na zitto na ndiyo maana ulitumwa kumuu kwa sumu na ukakubali,lakini kwa bahati mbaya tu hukufanikiwa,leo hii unathibitisha hili!

Ben kumbuka kwamba haya yote yana mwisho na siku zako zinahesabika katika kuthibitisha hili kwamba una chuki na zitto!

Ben kwa mtu kama wewe ambaye umekuwa ukijipambanua kama msomi hukupaswa kuingia kwenye majaribu kama haya,hapa ndipo umethibitisha kwamba wewe ni chuyaL

Ben zitto anakuzidi wewe kila kitu,anamzidi slaa kila kitu,anamzidi mbowe kila kitu,na anawazidi takataka wote wanaoomgozwa na wewe kwa kila kitu!

Mimi si mfuasi wa zitto lakini uonevu mnaomfanyia ikiwemo kumsaka kwa sumu ili kumuua haunipendezi hata kidogo,hakuna thread humu ndani imayomsifia zitto ambayo wewe huingii na kuponda hata kama kuna ukweli ndani yake?!

Hivi Ben Dk Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto kigoma?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Mwanza?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto,Tabora?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Geita?!

Hibi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Singida,Dodoma,Morogoro,Mtwara,.................?!!

Jaribu kutumia akili yako vizuri ili kuonesha usomi wako,vinginevyo tutaamini kwamba kweli wewe unatumika kutaka kumuua zitto kwa sumu kwa huu mwenendo wako Mkuu Ben!!

Ben Saanane.

Ben Saanane Love for all HATRED for none.
 
Last edited by a moderator:
Ben niliwahi kukwambia siku moja kwamba una chuki na zitto na ndiyo maana ulitumwa kumuu kwa sumu na ukakubali,lakini kwa bahati mbaya tu hukufanikiwa,leo hii unathibitisha hili!

Ben kumbuka kwamba haya yote yana mwisho na siku zako zinahesabika katika kuthibitisha hili kwamba una chuki na zitto!

Ben kwa mtu kama wewe ambaye umekuwa ukijipambanua kama msomi hukupaswa kuingia kwenye majaribu kama haya,hapa ndipo umethibitisha kwamba wewe ni chuyaL

Ben zitto anakuzidi wewe kila kitu,anamzidi slaa kila kitu,anamzidi mbowe kila kitu,na anawazidi takataka wote wanaoomgozwa na wewe kwa kila kitu!

Mimi si mfuasi wa zitto lakini uonevu mnaomfanyia ikiwemo kumsaka kwa sumu ili kumuua haunipendezi hata kidogo,hakuna thread humu ndani imayomsifia zitto ambayo wewe huingii na kuponda hata kama kuna ukweli ndani yake?!

Hivi Ben Dk Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto kigoma?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Mwanza?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto,Tabora?!

Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Geita?!

Hibi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Singida,Dodoma,Morogoro,Mtwara,.................?!!

Jaribu kutumia akili yako vizuri ili kuonesha usomi wako,vinginevyo tutaamini kwamba kweli wewe unatumika kutaka kumuua zitto kwa sumu kwa huu mwenendo wako Mkuu Ben!!

Ben Saanane.

Mjinga ww Tabora ya wapi ambayo Zitto ana umaarufu kuliko Slaa?
 
Last edited by a moderator:
Shujaa wa usaliti na unafiki!!akakae na wanakigoma wake

Bora ya huyo mnafiki kuliko mpenda madaraka,mzinifu mwizi na mbaguzi wa kikabila,wengine wafirwaji(mapunga chele)mnawatetea mbona hamuwasemi kichuki??
 
Politics is a dirty game, jana Emmanuel Nchimbi na Hamisi Kagasheki walikuwa wanaheshimiwa sana kama mawaziri wanaoongoza wizara nyeti, leo ni wabunge wa kawaida hawana hata uongozi wa kamati ya Bunge.

Chunga ulichokianzisha ndio chako, vyeo vya kupewa ni shinikizo tuu la damu havina maana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom