PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Mjinga ndo utamwambia hivyo,ila mwenye akili lazima atakuaona unatumia kitu kingne kwa kufki badala ya kichwa

Kwani wewe sio mjinga? Maana kuna watu wako kigoma na ni waajiliwa wa serikali hii hii inayoongozwa na CCM wamekuwa wakituhabalisha kila kinachoendelea,na kwa sababu hujui,nikwambie tu kwaamba mawasiliano ya mwisho ilikuwa leo saa saba usiku na mengine yakaendelea muda mfupi kabla ya shujaa wa usaliti hajatua Kigoma.taarifa za uhakika hao watu wameletwa kwa mbinu ile ile ya CCM,na wamelipwa posho.hao waajiliwa wa serikali wanatuhabarisha kwamba MM hana mvuto tena,vijana wengi ni wahuni wameokotwa mtaani.ungekuwa muungwana ningekufowadia usome,lkn kibaraka hana uungwana na achana na wewe
 
umejaa udini sana kaka, kwa hiyo kazi ya wafuasi wa vyama mbalimbali ni kutetea dini zao kwenye vyama? Kweli mimi kama muslim sitaunga mkono huu upuuzi wako hata kidogo. Mtoi is right than you!

Muislamu anapaswa kuitetea dini yake si kwenye chama tu bali popote. Mimi nimezungumzia hapa jukwaani huyo jamaa anajifanya kipofu pale dini inapotukanwa.
 
kweli jamaa ni ccm nimewagundua kwa mabango ya kijani. tangu lini cdm wakatumia mabango ya kijani?
 
Mafisadi wote km karamagi,lowassa,chenge nk. Wote waliandaa mapokezi makubwa zaidi ya haya. Lkn haikuondoa ukweli kwamba wao ni mafisadi. Zzk hata angepokelewa na watu laki 8 haiondoi ukweli kuwa yeye kuwa ni msaliti.
 
Zitto lazima watambue kuwa dhambi ya usaliti ni mbaya sana, lazima atambue kuwa hakuna double agent aliyeweza kunusurika kasha akafurahia maisha yake asilani... Dhambi hii ya usaliti kwa watanzania itamuandama na inaweza patiliza hadi kizazi chake cha nne....
 
Mimi na ufipa wapi na wapi? Wakifanya hivi hii forum itakuwa kijiwe na sio sehemu nyeti kama ilivyokuwa , kuna presha nyingi habari ya kweli ikiwa kwa hapa, moods do justice to this forum....

Na kweli mkuu ikiwa hivi,na ikiendelea hivi,watu itawavunja moyo,na wanaweza kufikiri vinginevyo,hata hivyo hawana uwezo wa kumnusuru MM.
 
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
Kama kweli Zitto ni zaidi ya CDM, tuone kama JK atampa Uwaziri?
 
wote wanafiki tuu hawajui madudu au maovu aliyoyafanya zitto tusubiri tuone ataongea nn ...siku zote mlevi huona watu ni walevi isipokuwa yeye wakati yeye ndo mlevi wana kigoma pole sanaa
 
Haka kazito kajinga kweli inamana hii staili ya CCM ya Divide and Rule yeye kama msomi hajaielewa?Hivi vitoto vinavyopenda sifa za kijinga dawa ni kuvitimua tu.Bora kuwa na Zito mpinzani kuliko kuwa na Zito mwanachama kidudu mtu.Vimagamba vikiongozwa na black widow vinashangilia kusudi huku vikijua matokeo yake.Chadema fukuzeni kama mbwa huyo kenge.
 
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.

Ni kweli,Zitto ni zaidi ya CDM..
Kwanini asijiondoe CDM na kuanzisha Chama out of CDM!?
Ili kujipima kama anakubalika au la..
Kwasababu,waliompokea ni wanachama wa CDM mix na Buku 7.. Ahame CDM aanzishe Chama au ajiunge na Chama kingine na sio kung'ang'ania kujisafisha akiwa ndani ya CDM!!
 
mafisadi wote km karamagi,lowassa,chenge nk. Wote waliandaa mapokezi makubwa zaidi ya haya. Lkn haikuondoa ukweli kwamba wao ni mafisadi. Zzk hata angepokelewa na watu laki 8 haiondoi ukweli kuwa yeye kuwa ni msaliti.

msaliti ni mbowe aliyesaliti ndoa yake
zitto ni mpambanaji katika siasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom