Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
upuuzi hata ukiunga mkono na dunia nzima utaendelea kuwa upuuzi tu.
Cha muhimu ni misingi na sio mfumo. Kuna kile kisa cha Yesu na Baraba(aliyekua mwizi na Mnyang'anyi). Katika eneo lile ambalo misingi haikufuatwa ni nani alipata mashabiki wengi kati ya Yesu na Barabara hadi akafunguliwa Baraba?Je, ukweli ulibadilika?