kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,940
- 7,847
[/QUOTEKigoma ni zitto na zitto ni kigoma. Wanaofikiri wanaweza kutwaa kigoma bila zitto wafikiri tena.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[/QUOTEKigoma ni zitto na zitto ni kigoma. Wanaofikiri wanaweza kutwaa kigoma bila zitto wafikiri tena.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwahiyo ulita mpaka uwaone Baba yako na Mama yako ndio ungeamini kua wakubwa walikuwepo pale né?
ha ha ha ha CCM na masalia mmeungana ili mumpokee kumfunika Dr.SLAA. Hilo mmechemsha wajanja tumewasoma
hilo ni kweli kabisa.., zito kamfunika slaa kigoma.. lakin hii haimanishi zito anakubalika zaidi ya slaa.. waende pamoja katika neutral ground. tuseme mwanza alaf tuone nani atafunika. ndo utasema zito anakubalika zaidi ya slaa.
Kama na wewe unaweza nenda basi kwenu Lushoto kafanye mikutano kama utapokelewa nai anayekujua wewe zaidi ya pale ufipa kufunga bendera.Ujinga unao wasumbua watu kama wewe yaani kutokujitambua ni kuwa chadema!!!! What a zero brain! Kujitambua ni kuwa ccm kwa kuwa wanasema chadema ni chama cha wakristo na cuf ni chama cha waislamu?! Kwa maana hiyo kuwa cuf au ccm ndio kujitambua!? Needless to say, kuwa chadema ndio kutokujitambua?!
Ungekuwa na kauwezo ka kufikiri kidogo huenda ungeenda mbali ya fikra mufilisi za udini ulizokuwa nazo. Draw a line when u see my comments.
Ndio imezizima kwa watu hao? Umelipwa sh ngapi?
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.
Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.
Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
mudy hajielewi na hawezi simama kwa miguu yake. Anategemea kumtukana zitto kutampa chati.kama na wewe unaweza nenda basi lushoto kafanye mikutano kama utapokelewa nai anayekujua wewe zaidi ya pale ufipa kufunga bendera.
Kama na wewe unaweza nenda basi kwenu Lushoto kafanye mikutano kama utapokelewa nai anayekujua wewe zaidi ya pale ufipa kufunga bendera.
Haya bwana tumekusikia mtoto wa "Kigoma kuwa Dubai ya Tanzania"Duh! Kweli ben wa sasa sio yule wa zamani, nimeamini simba akikosa nyama hula hata majani.View attachment 128014
Baada ya picha iliyojitokeza leo kigoma naishairi chadema imwite Zitto wayamalize mezani laasivyoo chama hakipo tena
Slaa alipo tia timu Kigoma ilikuwa aibu kama siyo polisi kumlinda kama waziri mkuu leo tunhekiwa tunaongea mengine
Mbowe mwenyekiti wetu chadema alipoenda mwanza akapatwa na aibu mzito ilikuwa awenaziara ndefu ikabidi asitishe ziara baada ya mwitikio kuwa mdogo
Pamoja na ITV na gazeti la Tanzania daima kukisaidia kitengo cha proaganda bado jamii ilielewa tunawadanganya maana wastukia picha kuwa zilikuwa za 2010 nyie ni mashahidi mbowe lalipokuwa mwanza vijana wetu walipost picha mbili
Duh! Kweli ben wa sasa sio yule wa zamani, nimeamini simba akikosa nyama hula hata majani.View attachment 128014