Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Utakuwa unaumwa mdondo wewe, wa kujitoa CHADEMA ni Mbowe
Anayeumwa mdondo ni wewe; Zitto wako kasoma kwa pesa ya Mbowe leo masikio yake yanataka kuvuka nyele. nadhani uwahi mirembe si mzima weye.
Utakuwa unaumwa mdondo wewe, wa kujitoa CHADEMA ni Mbowe
Mungu mkubwa ipo siku utakuja kuwatumikia watanzania kwa uwanja mpana zaidi.Hekima yako,busara na maarifa vitakufikisha mbali sana.Mwenyezi Mungu azidi kukujalia kama alivyomjalia Nabii Suleimani.Ujinga unao wasumbua watu kama wewe yaani kutokujitambua ni kuwa chadema!!!! What a zero brain! Kujitambua ni kuwa ccm kwa kuwa wanasema chadema ni chama cha wakristo na cuf ni chama cha waislamu?! Kwa maana hiyo kuwa cuf au ccm ndio kujitambua!? Needless to say, kuwa chadema ndio kutokujitambua?!
Ungekuwa na kauwezo ka kufikiri kidogo huenda ungeenda mbali ya fikra mufilisi za udini ulizokuwa nazo. Draw a line when u see my comments.
wewe kwa mtazamo wako umeridhika na kiwango cha mapokezi ya zitto?watu hawakuelewa lengo la dr. Slaa kung'ang'ani ziara ya kigoma na kanda ya magharibi kwa ujumla pamoja na "kuonywa" na masalia na uv-magamba. Ziara ilikuwa kumwahi huyu chakubimbi kwa ku-neutralize hali ya mambo. Ona sasa mambo yanavyomharibikia. Kwa ufupi imedhihirika vijana wa nchi hawajui siasa.
kivipi mkuu?Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.
kWANI MIE NIMESEMA ZITTO ANA DARESALAMA NGAPI? USINIITE MUONGO BANA.nitakuwa wa mwisho kuondoka chadema labda wanifukuze wao-zitto
tanzania kuna viwanda vya kutengeneza uongo-jk
Mjinga ww Tabora ya wapi ambayo Zitto ana umaarufu kuliko Slaa?
Mkuu,My comrade cjui anaelekea wapi..... hata kumtetea inakuwa ngumu xana........ anyways., if any thing has to go wrong goes wrong!
Hivi kulikuwa kuna haja ya kushindana na katibu mkuu wako wa chama? au unataka uonekane kuwa wewe ni maarufu kuliko taasisi yenu? Hivi wakimuita msaliti wanakosea? hiyo ziara ina mpango gani zaidi ya kutaka kudhoofisha juhudi za chama kukubaliwa na wananchi? Hiyo ndo demokrasia uliyokuwa unaitafuta dhidi ya unaowaita wahafidhina comarade?
I think nop, must be joking brother!
watanzania kweli mna matatizo, yaani mbunge apimane ubavu na katibu mkuu wa chama chake?Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.
Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.
Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
Ujinga unao wasumbua watu kama wewe yaani kutokujitambua ni kuwa chadema!!!! What a zero brain! Kujitambua ni kuwa ccm kwa kuwa wanasema chadema ni chama cha wakristo na cuf ni chama cha waislamu?! Kwa maana hiyo kuwa cuf au ccm ndio kujitambua!? Needless to say, kuwa chadema ndio kutokujitambua?!
Ungekuwa na kauwezo ka kufikiri kidogo huenda ungeenda mbali ya fikra mufilisi za udini ulizokuwa nazo. Draw a line when u see my comments.
bravo mkuu!Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Kaeni nae karibu, kama kujinyonga, basi ni yeye mwenyewe.Bado kidogo mtajinyonga mmoja baada ya mwingine. Zitto anazidi kuwapiga fimbo za mgongo mpaka mpate adabu
Watu hawakuelewa lengo la Dr. Slaa kung'ang'ani ziara ya Kigoma na Kanda ya Magharibi kwa ujumla pamoja na "kuonywa" na masalia na UV-Magamba. Ziara ilikuwa kumwahi huyu chakubimbi kwa ku-neutralize hali ya mambo. Ona sasa mambo yanavyomharibikia. Kwa ufupi imedhihirika vijana wa nchi hawajui siasa.
Very simple,ajiondoe CHADEMA ili ateuliwe na jeykey kuwa mbunge kisha apewe uwaziri na asahaulike baada ya 2015! Option hii CCM hawataifurahia sana kwani watafurahi kwa option hii;
Option nzuri na wanayoitaka CCM kama kashindwa kubaki CHADEMA na hawampeleki NCCR-MAGEUZI basi atajiunga na CCM lakini hatopewa uwaziri bali atapewa ubunge wa kuteuliwa na atachukua nafasi ya Mwigulu Nchemba ya unaibu wa CCM ili atumike kuzunguka mikoani kufanya propaganda dhidi ya CDM mpaka 2015!!
Naushangaa usomi wa huyu mtu anaesifiwa kuwa ana akili_!!!
kivip? Yaani ulitaka wananchi wa kigoma wasimpokee mbunge wao?Haya ni zaidi ya matusi kwa Dr.W.Slaa, Godbless J Lema, Ben Saanane, Yericko Nyerere na bosi wao Josephine
umejaa udini sana kaka, kwa hiyo kazi ya wafuasi wa vyama mbalimbali ni kutetea dini zao kwenye vyama? Kweli mimi kama muslim sitaunga mkono huu upuuzi wako hata kidogo. Mtoi is right than you!We kisuka njaa zinakufanya mpaka unaisaliti imani yako. Ungekuwa mkweli ungekuwa unajitokeza kutetea au kuelimisha watu pale wanapoushambulia uislamu ila ili usionekane mdini kwakuwa unatetea dini yako unajifanya huoni. Unadhani hizo siasa zitakusaidia mbele za Mungu.