Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 559
Wacha kamba wewe Chadema ni mali ya Mtei na Mbowe.
Na CCM ni mali ya MIZIGO flani siyo!
Wacha kamba wewe Chadema ni mali ya Mtei na Mbowe.
mkuu kati ya mimi na Dr.W.Slaa nani ana hitaji gongo kwenye serikali yake?
Umenikumbusha ya Al-Sahaf akipiga propaganda huku risasi zikirindima jengo la jirani na nyuma yake.Propaganda nyingine bwana!, hata Abuu Sahaf yule Waziri wa ulinzi wa Irak cha mtoto, Propaganda Hizi zinazidi hata kitengo cha Propaganda cha NAZI.
Picha ziko wazi za Upokezi wa Zitto halafu unadiriki kuita Kiwango duni cha Mapokezi!
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.
Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.
Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
nani anahabari na zitto saa hizi?
Kwahiyo kuna Gongo halali na kharamu? Au ile anywayo Slaa ndio halali né?Tayari michango yako ina harufu ya gongo haramu
Tena wameumbuliwa vibaya mno hii leo, ila vijana naona wamekuja na ka-thread kalikojaa propaganda na mods kukatia kapuni haraka.bavicha mnachojua ni matusi tuu na mmeshikwa pabaya.
Kwenda jimboni kwake ndo iwe shida; yaani mtu uombe ruhusa kwenda kwenu? Dah, hii nayo ni itifaki au urasimu usiokuwa na tija?
Kwa kweli kabisa, hakutegemea kiwango duni kama kile. hata afande Sele sasa anamzidi Zitto kwa mbali sana.Propaganda nyingine bwana!, hata Abuu Sahaf yule Waziri wa ulinzi wa Irak cha mtoto, Propaganda Hizi zinazidi hata kitengo cha Propaganda cha NAZI.
Picha ziko wazi za Upokezi wa Zitto halafu unadiriki kuita Kiwango duni cha Mapokezi!
Kutokana na mambo kumwendia ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.
My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake.
Wataanzia wapi?Chadema mfukuzeni chama huyu msaliti na mhaini. Huyu anaitumikia CCM na Serikali.
Mnangoja nini?
cc Dr.W.Slaa. Godbless J Lema, Ben Saanane, Yericko Nyerere
Kwi kwi kwi teh teh teh teh.
kutokana na mambo kumwendia ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda cdm.
My take: Sasa naona zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake. Sijui kama huyu jamaa anapata usingizi sawasawa, anahitaji check-up.
Kwahiyo ulita mpaka uwaone Baba yako na Mama yako ndio ungeamini kua wakubwa walikuwepo pale né?Mbona sioni watu wazima hapo? Naona watoto na vijana wadogo wa bodaboda ambao buku mbili mbili tu inatosha kwao kufanya chochote.
Kwa sababu ya fitna alizozipeleka huko Slaa, ndio majibu yake hayo.Mbona wakati mwingine akienda hafanyi maandamano?
Kwanini wakati huu?