PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

Bilioni moja ya nini?
Kulipia host? Domain? Au nini?
Budget si juu $ 6000
Kutengeneza Forum software from scratch yenye features kama hizi na kui maintain.

Ndio maana nimekupa mfano hata makampuni makubwa yanatumia ready made sababu gharama ni kubwa.

Na hakuna budget ya juu ya Hosting, Apple analipa $30M kwa mwezi hosting Aws
 
vile moderators wakimsubiri mleta mada amalize kuleta ujuaji wake halafu wamle kichwa.
waiting.gif
 
Mbona unazunguka
Sema kanunua source code

Hata wewe unaweza ukanunua na uka-upload

Kuna ugumu gani kwenye ku-upload

Hakuna udhibitisho wa hilo, shida ni unakuja na assumption ambazo hauna uhakika nazo. Ni vema ukamcheki mmiliki umuele yeye mwenyewe aweze ku shed light kwenye hilo
 
Ni sawa na kutumia blogspot au WordPress au CodeCanyon .
Huo Ni udhaifu

Ni bora ufanye donation ya code , site uijaze vitu vya uhakika
Yani tokea miaka ya 2000 hadi leo site haina video player ,

Una-upload source code tu

Si udhaifu and he is not the first. kuna room for improvement yes but si unavyotaka wewe.
 
Mimi nimependa tu hapo kwenye
Find threads
Unanswered threads
your threads
threads with your post

Hapo tu ndo pamekaa poa
 
Hakuna udhibitisho wa hilo, shida ni unakuja na assumption ambazo hauna uhakika nazo. Ni vema ukamcheki mmiliki umuele yeye mwenyewe aweze ku shed light kwenye hilo
Uthibitisho upi unataka wewe

XenForo Cloud

Screenshot_20230413-071211.png

Screenshot_20230413-071236.png

Screenshot_20230413-071302.png

Screenshot_20230413-071331.png


XenForo Self-host
Screenshot_20230413-071042.png

Screenshot_20230413-071115.png


 
Kwa tafsiri yako.

Nikimcheki Melo - huwa namwona kama role model wa Tech TZ.
Kwa sababu ameamua kutaka umaarufu kwa kupitia Tech -

Sasa akianza kutumia source code za mtu mwingine tena kwa 99%
Inasikitisha
Hata icons , layout vyote hajabadilisha - ka-upload source code kama ilivyo
Hii ndo hoja inayokutesa sana mkuu

Maxence Melo sidhani kama anautafuta umaarufu. Anafanya kile ambacho kinapaswa kufanywa na kila mwenye akili timamu na mapenzi mema kwa nchi.

Kama angekuwa anasaka umaarufu angeshavuta mpunga na kutuuza mazima.kwa majambazi yanayotafuta Watanzania wsnaotumia uhuru wao kujadili uhalisia wa nchi yao behind pen names.

Mkuu njoo kivingine. Hapo umechemka
 
Hii ndo hoja inayokutesa sana mkuu

Maxence Melo sidhani kama anautafuta umaarufu. Anafanya kile ambacho kinapaswa kufanywa na kila mwenye akili timamu na mapenzi mema kwa nchi.

Kama angekuwa anasaka umaarufu angeshavuta mpunga na kutuuza mazima.kwa majambazi yanayotafuta Watanzania wsnaotumia uhuru wao kujadili uhalisia wa nchi yao behind pen names.

Mkuu njoo kivingine. Hapo umechemka
Hapa kwenye nchi kutumia source code za mafungu,
Ni sawa na jeshi kutumia Gmail account
 
Mkuu
Kwani JF ni National Forums au ni private owned entity?

Impact yake ipoje. Tuelimishane
Sawa , ila ina vitu muhimu kwa taifa
We kubali tu - tunaoga nje

Anajihusisha na serikali/siasa, unaanzaje kumuweka kama private owned
 
Mtoa mada inaonyesha haufahamu haya mambo kwa ustadi wake, yaani wewe bado una mtazamo wa software au app development ki uanafunzi sio ki professional.

Hili ni tatizo la watanzanaia wengi kwenye industry ya IT, ukishangaa hili la JF, na ukajenga hoja zako za kwa nini hawakuandika code from scratch, nitakuuliza je wewe hizo software unazotumia uliziandika from scatch?

Kuna mwalimu mmoja nae niliwahi kutana nae eti aliniwakia kisa alikuta nimeandika code za html kwa kutumia div tags, akokomaa umetumia Dream Weaver (kama unaijua lakini, maana kipindi cha nyuma ndio ilikua ni kama IDE ya maajabu kwa web devs) akiamini haiwezekani kuandika code kama hizo kwa notepad ambayo ni plaintext, yaani ni kukariri tu na kutojiongeza kuelewa na kufahamu mambo yalivyo.

Makampuni yote unayoyajua most of there products wananunua, hiyo google tu ni mfano mzuri, tena ukiwa mtaalamu wa app development ndio huwezi kuwa na upeo finyu wa kuanza kuandika from scratch, hakuna kitu kama hicho.

Niseme tu kajifunze zaidi... Maana hata hizo tools unazotumia kuandika codes pia ziliandikwa na watu ila wewe unatumia kufanyia majaribio yako pia na zinakurahisishia mpaka unaona wenzako (JF) ni wazemembe.
 
Sawa , ila ina vitu muhimu kwa taifa
We kubali tu - tunaoga nje

Anajihusisha na serikali/siasa, unaanzaje kumuweka kama private owned
Naomba sasa tuweke sawa historia.

Niambie usafi wa serikali hadi inamshtaki Melo kwa kugoma kutoa identity ya mpiga mbinja aliyribua wizi wa mafuta bandarini......


Niambie ushiriki wa Melo ndani ya serikali.


Niambie kwa nini mimi na wewe tunatumia FAKE names tuwapo JF. Kwa nini tunajificha
 
Naomba sasa tuweke sawa historia.

Niambie usafi wa serikali hadi inamshtaki Melo kwa kugoma kutoa identity ya mpiga mbinja aliyribua wizi wa mafuta bandarini......


Niambie ushiriki wa Melo ndani ya serikali.


Niambie kwa nini mimi na wewe tunatumia FAKE names tuwapo JF. Kwa nini tunajificha
Kwa Leo sipo kisiasa , tutakuja kuongea zaidi katika uzi mwingine
Kwanini JF imejikita kwenye siasa
 
Back
Top Bottom