PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

Lengo la kufuga paka ni kukamata panya. Kama anakamata panya, hayo mengine yanakubalika. Impact ya Jf kwa jamii ikoje?
 
Blackhatworld ina watembeleaji 3M kwa mwezi - hapa ndipo utakuta wajanja wote(website developers)/ SEO

Jamiiforums ina watembeleji 1.5M kwa mwezi , hapa utakuta nyuzi zote za kipuuzi : mbususu , chadema vs ccm ,

Hapo nani wakumuiga mwingine
Tuna tabia zetu tu
 
Mtoa mada hakuna unachokijua.

Btw, Huko BHW ndipo Digital Marketing imelala. Utakutana na aggressive Marketers wanaosponser mpaka Dollar Laki Tano, pia programmers wanaopambana ku-bypass sheria zilizowekwa na mitandao ya kijamii.
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
Kwa hiyo ulivyoona hiyo ukajua blackhatworld ndiyo waanzilishi?
 
Back
Top Bottom