PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

Mtoa mada inaonyesha haufahamu haya mambo kwa ustadi wake, yaani wewe bado una mtazamo wa software au app development ki uanafunzi sio ki professional.

Hili ni tatizo la watanzanaia wengi kwenye industry ya IT, ukishangaa hili la JF, na ukajenga hoja zako za kwa nini hawakuandika code from scratch, nitakuuliza je wewe hizo software unazotumia uliziandika from scatch?

Kuna mwalimu mmoja nae niliwahi kutana nae eti aliniwakia kisa alikuta nimeandika code za html kwa kutumia div tags, akokomaa umetumia Dream Weaver (kama unaijua lakini, maana kipindi cha nyuma ndio ilikua ni kama IDE ya maajabu kwa web devs) akiamini haiwezekani kuandika code kama hizo kwa notepad ambayo ni plaintext, yaani ni kukariri tu na kutojiongeza kuelewa na kufahamu mambo yalivyo.

Makampuni yote unayoyajua most of there products wananunua, hiyo google tu ni mfano mzuri, tena ukiwa mtaalamu wa app development ndio huwezi kuwa na upeo finyu wa kuanza kuandika from scratch, hakuna kitu kama hicho.

Niseme tu kajifunze zaidi... Maana hata hizo tools unazotumia kuandika codes pia ziliandikwa na watu ila wewe unatumia kufanyia majaribio yako pia na zinakurahisishia mpaka unaona wenzako (JF) ni wazemembe.
Kununua source code siyo mbaya , ubaya ni kutumia bila ku-edit na kuongezea vitu
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
JamiiForums iwe imekopiwa huko au vyovyote vile ila Mimi kama Balozi wao tukuka nasema ( nakuambia ) tutaendelea Kuupenda huu Mtandao mpaka pale Dunia itakapopinduka.

Long live JamiiForums Website

Long live JamiiForums Founder Maxence Melo

Long live Members wote wa JamiiForums
 
JamiiForums iwe imekopiwa huko au vyovyote vile ila Mimi kama Balozi wao tukuka nasema ( nakuambia ) tutaendelea Kuupenda huu Mtandao mpaka pale Dunia itakapopinduka.

Long live JamiiForums Website

Long live JamiiForums Founder Maxence Melo

Long live Members wote wa JamiiForums
Nazidi kusisitiza , Melo aongeze kachumbari msosi uwe mtamu zaidi

Si kwa ubaya , mbona wabongo mnachukia mabadiliko?
 
Nazidi kusisitiza , Melo aongeze kachumbari msosi uwe mtamu zaidi

Si kwa ubaya , mbona wabongo mnachukia mabadiliko?
Jikite kuhangaika Kwanza na Maisha yako Magumu ( ya Waya ) na Ukimaliza ndipo uanze Kushoboka na huu Mtandao wa JamiiForums sawa?

Hovyoooooo.......!!!!!!
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
That's how technology works bro.
Kuna watu tayari wametengeneza framworks, zinazokuwezesha kufanya on various platforms tena zikiwa na features nyingi tu.
Huna haja ya kuanza from root level wakati kuna kitu tayari kipo up and running.
 
That's how technology works bro.
Kuna watu tayari wametengeneza framworks, zinazokuwezesha kufanya on various platforms tena zikiwa na features nyingi tu.
Huna haja ya kuanza froom roit level wakati kuna kutu tayari kipo up and running.
Chakula umetafuniwa, bado unashindwa kumeza
 
Back
Top Bottom